Alafu mbona Kuna aina nyingi tuu za Muziki hapa hatuwasikii wakilalamika.... Wanamuziki wa Dansi na Taarab mbona wapo Kimya Wanafanya show zao maisha yanaenda Kila kukicha na hawa hawa tuu C waachane na hiyo Redio?
Nyinyi Mnaojifanya Hamsikilizi Clouds Ikija ishu hapa Mna information zote Sasa hata hatuwaelewi Hamsikilizi kbs au Mnasikiliza kidogo hapa ndo mnaponipa tabu.
Nyinyi Mnaojifanya Hamsikilizi Clouds Ikija ishu hapa Mna information zote Sasa hata hatuwaelewi Hamsikilizi kbs au Mnasikiliza kidogo hapa ndo mnaponipa tabu.
Nyinyi Mnaojifanya Hamsikilizi Clouds Ikija ishu hapa Mna information zote Sasa hata hatuwaelewi Hamsikilizi kbs au Mnasikiliza kidogo hapa ndo mnaponipa tabu.
Wafu radio ni ya kusaga ila menejimenti yote amesimama kiwembe wa madada wa tht rugay
Jiulize Njenje wamewalaumu Clouds?
Au Diamond kawalaumu Clouds?
je Ally Kiba kawalaumu Clouds?
Au Fid Q, JOH Makini na Ommy Dimpoz wamewalaumu Clouds?
Pamoja na yoote yanayosemwa, kuna ambayo naungana na baadhi ya wahanga waliowahi kukandamizwa na Clouds.
Ni kweli Clouds wana mapungufu yao tena ni makubwa mno, lakini kuna baadhi ya wadau wa Muziki wamefika tamati na sasa Nanga inashuka so wameamua kutafuta suport ya wazalendo.
Huwa sielewi hii patnership ya kusaga na Ruge. Nani bosi?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Tatizo ni kwamba kila msanii hajisikii kama msanii hadi nyimbo zake zipigwe Clouds FM! Na zisipopigwa, inaanza nongwa lakini zisipopigwa radio nyingine; hakuna tatizo provided Clouds zinapigwa....huu ni upumbavu!
na huu Ndio ujinga wao, na hapo jamaa Ndio wanawapiga hapo hapo....
hivi hakuna new players wengine wa kuwa challenge?
Kwa mtu asiyejua huu unyonyaji anaweza kudhani wasanii wanalalamikia nyimbo zao kutokupigwa. Baadhi ya wasanii wanalalamika fitna wanazofanyia kwa kukataa kuwa chini yao. Utashangaa ukumbi uliobook kufanyia shoo unaambiwa siku chache kabla ya show uhame. Siku uliyoandaa kupiga show zitaandaliwa show zingine kama 30 hivi. Wasanii uliokubaliana nao kusupport show yako wanageuka dakika za mwishoni. Ukiwafata wadhamini mkakubaliana nao muda mfupi baadaye wanacunja mkataba. Unyonyaji ni zaidi ya nyimbo kutokupigwa radioni.