What was on the bodyguard's mind?

Inawezekana jamaa ni wa kagera sasa mheshimiwa alivyosema majanga yote kwanini yanapatikana kagera jamaa inaelekea "alim-mind" kiana....
 
Uyo mtoa mada alikuwa anatoa maneno ya shombo board guard yamemkifu anafinya pua

Tahadhari kuna maneno mengine yanakera kuliko arufu ya ushuzi
 
Najua alichokuwa anawaza huyo jamaa,nikimaliza kulima ntarudi
 
nadhaani atakuwa amemkanyanyaga..mguuni...kwa bahati mbaya hapo chini...ndio jamaa anaugulia maumivu...!!!!.... ....
 
Hapo aliwaza maneno mawili,.....la kwanza linaanza na herufi M na la pili linaishia na herufi E.
 
Back
Top Bottom