Beat ni NOUN pigo kwa kiswahili
Instrumental ni chombo kwa kiswahili
Sasa tuje kwenye matumizi ya kimuziki maneno hayo mawili
Beat inaweza kuwa pigo 1 tu au zaidi yaani mlio 1 wa ala za musiki au ngoma nk
Instrumental ni mpangialio wa vyombo wa kutengezeza beat mfano, ngoma, kinanda, gitaa nk
Nivuavyo mimi
HaswaaaaBasi uzi umeisha.
Beat ni NOUN pigo kwa kiswahili
Instrumental ni chombo kwa kiswahili
Sasa tuje kwenye matumizi ya kimuziki maneno hayo mawili
Beat inaweza kuwa pigo 1 tu au zaidi yaani mlio 1 wa ala za musiki au ngoma nk
Instrumental ni mpangialio wa vyombo wa kutengezeza beat mfano, ngoma, kinanda, gitaa nk
Nivuavyo mimi