Hivi hiyo shule ulienda kusomea ujinga?
Money is numbers, and numbers never end.
If it takes money to make you happy, your search for happiness will never end-unknown
Think before you Act- anonymousIncluding Crusaiders,CIA,MI6 KGB na NATO !!! au siyo.... ? Jee kuna Angels hapo?
Kama una imani either Mkristo au Mwislam ndo inakuwa mtego.Mtego aje hapo mkuu?
NotedKama una imani either Mkristo au Mwislam ndo inakuwa mtego.
Inakufanya uone hakuna mema na mabaya ndio hao wanaosema kumwogopa Mungu ni kujiwekea limit ya upeo na Uhuru.
So kwa muktadha huo hata ushoga wanaona sio mbaya kwa kuwa wanasimama Kwenye angle ya kuuona kitu cha kawaida.