Kuna vitu huwa na wish MEN wavi understand what we women want
but they seems not to care at all
Tatizo ni kuwa nyie wanawake mnataka wanaume wawe telepathic (kusoma mawazo yenu).
Ukimuangalia unafikiri kwa nini hajui kuwa mimi nina shida hii. Sasa jamaa likikaa sebuleni na bia yake akiangalia michezo kwenye luninga, wewe unakimbilia bafuni na kulia -- "ohh, wala hanijali. Liangalie linacheka kwenye simu wala haoni machungu yangu." Waelezeni wanaume wenu mnachotaka.