What made Mwanza develop???

Drone Camera

JF-Expert Member
Jul 25, 2017
14,007
13,799
Habari za jioni wakuu..
Kama kichwa kinavyojieleza ningependa kufahamu mambo ama factors zilizopelekea Mwanza kudevelop and become a city..
Kwa DSM tunafahamu nn kilipelekea iendelee...ni jiji kuu la kibiashara,uwepo wa bandari kuu pamoja na mengine mengi..
Arusha kuna vivutio vingi tu,madini nk..
But what about Mwanza?? Hakuna vivutio vingi,hakuna bandari,hakuna madini mengi and it's now a large city..
Kama ni population inamaanisha hiyo population imetokana na watu kuvutiwa na Mwanza hivyo maendeleo yalianza kwanza kabla ya population... Hivyo bac population si hoja yenye mashiko iliyoifanya Mwanza iendelee...
What really made Mwanza develop and became a second commercial city just behind Dar es Salaam???
Maoni yenu Tafadhali...
images.jpeg
download%20(2).jpeg
download.jpeg
download%20(1).jpeg
 
Matajiri wa kihindi waliwekeza sana biashara zao enzi hizo hali iliyopelekea wafanyabiashara wa wilaya za jirani kwenda kulangua bidhaa za jumla hivyo kupelekea kufunguka kwa fursa nyingine kama vile mahotel,migahawa usafirishaji nk.
 
Towns kabla ya colonial era nadhani vilikuwa vile vituo vya trade and slave trade eg ujiji,tabora,kilwa,bagamoyo nk.....sijasoma kuhusu Mza hata kwenye history.
Madini, pia ujue kabla ya kuja kwa wakoloni Mwanza was the largest town in Tanganyika
 
Uvuvi ni moja ya factor kuna matajiri wakubwa pale wanafanya shughuli za uvuvi, madini yapo wilaya ya misungwi kuna migodi ambayo mingi ni medium scale na geita kabla ya kuwa mkoa ilikua ikichangia sana upande wa madini.
 
At least hii yaweza kuwa sababu mojawapo....but hata hivyo sidhani kama itakuwa main reason coz wahindi hawakuwekeza Mza pekee....anyway asante kwa kunipa moja ya sababu.@Marwa_J_Merengo,
 
NAFIKIRI MWANZA
1. NIKAMA KITOVU CHA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI PAMOJA NA NCHI ZA MAZIWA MAKUU
2. BIASHARA YA SAMAKI HASA KIPINDI CHA MIAKA YA TISINI HADI ELFU MBILI MWANZONI ENZI HIZO ZA SANGARA WAKUBWAWAKUBWA
3. JAPO HII INAWEZA SIO SAHIHI SANA ILA BIASHARA ZA MADINI ZOTE HALALI NA ZISIZO HALALI ENZI HIZO MADINI YANAWIKA KANDA YA ZIWA NA NCHI JIRANI YA CONGO WAFANYABIASHARA NA WAFANYAKAZI WA MIGODINI WENGI WALI-ISHI, AU HATA KUHAMIA KWENYE HUO MJI
4. SABABU NYINGINE MNAWEZA KUONGEZEA WADAU JAPO HIZO SABABU JUU SIO RASMI NI HISIA TU
 
Ziwa victoria shughuli za uvuvi,kuwa karibu na Uganda kupitia bukoba bidhaa za huko zipo chini so biashara ni nzur,kuwa karibu na Kenya so business done,uwepo wa hospital ya bugando so kuna mchanganyiko wa watu kutoka nchi na mikoa jirani,vivutio kama sanane island na historia za ma chief wa kale,ukubwa wa eneo hvyo kuna population kubwa inayoongeza mzunguko wa pesa,uwepo wa vyuo na vyuo vikuu..kuwa karib na miji kama geita na shinyanga ambapo dhahabu huchimbwa..wenyej wake ni wakarimu sana ..yaani sababu zipo zaid ya million moja
 
1.Mkuu wangu mwanza wana bandari ndogo hivyo ukisema hamna bandari unakua hauko specific.

2.Uvuvi, kilimo hasa pamba zimepushi uchumi

3.n.k
 
Nani aliekwambia mwanza hakuna bandari?hio mizigo ya waganda wanasafirishia wapi?
Mwanza ni mji ulie zungukwa na madini pia wana zao kubwa la biashara Pamba(White Gold)
Fillet za sangara wana Xport nje na kuingiza pato kubwa serikalini
Mwanza imepakana na boader ya Nchi tatu,Kenya Uganda na Rwanda
Imekuwa kibiashara kutokana na mikoa iliopo jirani wanakuja kununua mahitaji yao hapo kama vile bukoba musoma na shinyanga
Sasa tusubirie na Intenational Airport ikamilike,yaani Emarates Air line itoke dubai direct to mwanza hapo mwanza itakua haikamatiki tena
Mikoa yote ya jirani watakuja mwanza kupandia ndege hapo
Mtu atatoka singida kwenda mwanza ili akapande ndege kwenda China
Kwa mantiki hio mzunguko wa kibiashara pamoja na mahoteli yatachangamka saana kutokana na watu kutoka sehem mbali mbali kuja hapo mwanza
Notice-From Arusha to Serengeti inakaribia km400,lkn kutoka mwanza kwenda serengeti ni Km100 tu.hapo itakua fursa kwa watalii wenye kuja mbuga za wanyama badala ya kushukia arusha(kia) watakuja direct mwanza
 
Back
Top Bottom