What made Mwanza develop???

Mbonge la promo,,umetisha mkuu,
Nani aliekwambia mwanza hakuna bandari?hio mizigo ya waganda wanasafirishia wapi?
Mwanza ni mji ulie zungukwa na madini pia wana zao kubwa la biashara Pamba(White Gold)
Fillet za sangara wana Xport nje na kuingiza pato kubwa serikalini
Mwanza imepakana na boader ya Nchi tatu,Kenya Uganda na Rwanda
Imekuwa kibiashara kutokana na mikoa iliopo jirani wanakuja kununua mahitaji yao hapo kama vile bukoba musoma na shinyanga
Sasa tusubirie na Intenational Airport ikamilike,yaani Emarates Air line itoke dubai direct to mwanza hapo mwanza itakua haikamatiki tena
Mikoa yote ya jirani watakuja mwanza kupandia ndege hapo
Mtu atatoka singida kwenda mwanza ili akapande ndege kwenda China
Kwa mantiki hio mzunguko wa kibiashara pamoja na mahoteli yatachangamka saana kutokana na watu kutoka sehem mbali mbali kuja hapo mwanza
Notice-From Arusha to Serengeti inakaribia km400,lkn kutoka mwanza kwenda serengeti ni Km100 tu.hapo itakua fursa kwa watalii wenye kuja mbuga za wanyama badala ya kushukia arusha(kia) watakuja direct mwanza
 
Uvuvi ni moja ya factor kuna matajiri wakubwa pale wanafanya shughuli za uvuvi, madini yapo wilaya ya misungwi kuna migodi ambayo mingi ni medium scale na geita kabla ya kuwa mkoa ilikua ikichangia sana upande wa madini.
Uvuvi!!....cjaona kampuni kubwa za uvuvi..hata viwanda vikubwa vya samaki hamna..labda vile medium.
 
Ziwa victoria shughuli za uvuvi,kuwa karibu na Uganda kupitia bukoba bidhaa za huko zipo chini so biashara ni nzur,kuwa karibu na Kenya so business done,uwepo wa hospital ya bugando so kuna mchanganyiko wa watu kutoka nchi na mikoa jirani,vivutio kama sanane island na historia za ma chief wa kale,ukubwa wa eneo hvyo kuna population kubwa inayoongeza mzunguko wa pesa,uwepo wa vyuo na vyuo vikuu..kuwa karib na miji kama geita na shinyanga ambapo dhahabu huchimbwa..wenyej wake ni wakarimu sana ..yaani sababu zipo zaid ya million moja
Vivutio vya utalii vya Mwanza Mara nyingi naona watalii wa ndani tu...hospitali na vyuo na miundominu mingine hufuata uhitaji wa watu..so Mza iliendelea kwanza kabla ya hivo vitu kufuata baadaye...
 
Ziwa victoria shughuli za uvuvi,kuwa karibu na Uganda kupitia bukoba bidhaa za huko zipo chini so biashara ni nzur,kuwa karibu na Kenya so business done,uwepo wa hospital ya bugando so kuna mchanganyiko wa watu kutoka nchi na mikoa jirani,vivutio kama sanane island na historia za ma chief wa kale,ukubwa wa eneo hvyo kuna population kubwa inayoongeza mzunguko wa pesa,uwepo wa vyuo na vyuo vikuu..kuwa karib na miji kama geita na shinyanga ambapo dhahabu huchimbwa..wenyej wake ni wakarimu sana ..yaani sababu zipo zaid ya million moja
Vivutio vya utalii vya Mwanza Mara nyingi naona watalii wa ndani tu...hospitali na vyuo na miundominu mingine hufuata uhitaji wa watu..so Mza iliendelea kwanza kabla ya hivo vitu kufuata baadaye...
 
Uvuvi ni moja ya factor kuna matajiri wakubwa pale wanafanya shughuli za uvuvi, madini yapo wilaya ya misungwi kuna migodi ambayo mingi ni medium scale na geita kabla ya kuwa mkoa ilikua ikichangia sana upande wa madini.
Yah uvuvi inaweza kuwa moja ya sababu but madini huku nyamagana na ilemela uyatolee wap??
 
1.Mkuu wangu mwanza wana bandari ndogo hivyo ukisema hamna bandari unakua hauko specific.
2.Uvuvi, kilimo hasa pamba zimepushi uchumi
3.n.k
Haka ka-port kadogo watu ndo wanaita bandari.... Navyosikia sasa ndo serikali INA mpango wa kuleta bandari....
 
"E="toroka uje mjini, post: 31998520, member: 425329"]
Nani aliekwambia mwanza hakuna bandari?hio mizigo ya waganda wanasafirishia wapi?
Mwanza ni mji ulie zungukwa na madini pia wana zao kubwa la biashara Pamba(White Gold)
Fillet za sangara wana Xport nje na kuingiza pato kubwa serikalini
Mwanza imepakana na boader ya Nchi tatu,Kenya Uganda na Rwanda
Imekuwa kibiashara kutokana na mikoa iliopo jirani wanakuja kununua mahitaji yao hapo kama vile bukoba musoma na shinyanga
Sasa tusubirie na Intenational Airport ikamilike,yaani Emarates Air line itoke dubai direct to mwanza hapo mwanza itakua haikamatiki tena
Mikoa yote ya jirani watakuja mwanza kupandia ndege hapo
Mtu atatoka singida kwenda mwanza ili akapande ndege kwenda China
Kwa mantiki hio mzunguko wa kibiashara pamoja na mahoteli yatachangamka saana kutokana na watu kutoka sehem mbali mbali kuja hapo mwanza
Notice-From Arusha to Serengeti inakaribia km400,lkn kutoka mwanza kwenda serengeti ni Km100 tu.hapo itakua fursa kwa watalii wenye kuja mbuga za wanyama badala ya kushukia arusha(kia) watakuja direct mwanza[/QUOTE]"
Umeandika kishabiki sana mkuu....hii bandari ya Mwanza ni ndogo sana ambapo kwa sasa ndo nasikia serikali inataka iitengeneze ili kufanya waganda kupitisha bidhaa tz badala ya kenya... halafu kilimo cha pamba kinavyosuasua hivi pamba yenyewe kilo buku nadhani shinyanga wanalima zaidi ila je imewapeleka wap?? pointi nyingine ya kukusahihisha ni kuwa Mza haijapakana na Rwanda... Rwanda imepakana na kagera huko...hizi biashara zinazoendelea baina ya Mwanza na Kenya ama Uganda ni ndogondogo tu na zingine ni za magendo tu..
Dukuduku langu......
kagera kwenye kilimo ipo vzr kulko Mza ,shinyanga kwenye madini ipo vzr kuliko Mza,Mara kwenye utalii ipo vzr kuliko Mza...sasa kwa nn Mwanza iendelee tena zaidi kuliko hiyo mikoa??
 
"E="Ing'ang'a, post: 31999957, member: 346529"]
Samaki
[/QUOTE]"
fishing sababu mojawapo
 
Yah uvuvi inaweza kuwa moja ya sababu but madini huku nyamagana na ilemela uyatolee wap??
Hivi unajua kuwa madini yote ya tz yanaeza kuwa yanainufaisha dar zaid kuliko yanakotoka? Ukiijua nadharia hio utaelewa ni jinsi gani madini yamechangia kuikuza mwz, kabla ya sheria ya sasa dhahabu ya geita na shy wanunuzi wakubwa ni ama walitokea au kuwekeza mwz.
 
Akili ya kawaida tu kujua. Mwanza ni centrally located kati ya nchi za EA. Kama isingeendelea ningeishangaa. Pili ni lake Nyanza ambayo inacommunicate mikoa kibao,nchi kibao!!
 
Hivi unajua kuwa madini yote ya tz yanaeza kuwa yanainufaisha dar zaid kuliko yanakotoka? Ukiijua nadharia hio utaelewa ni jinsi gani madini yamechangia kuikuza mwz, kabla ya sheria ya sasa dhahabu ya geita na shy wanunuzi wakubwa ni ama walitokea au kuwekeza mwz.
Kwann waliwekeza Mza wakaacha shinyanga na geita?? Inamaanisha Mza kulikuwa na maendeleo yaliyowavutia wawekezaji...kumbe maendeleo yalikuwako kabla...Sasa hayo maendeleo ya awali yaliletwa na nn??
 
Kwann waliwekeza Mza wakaacha shinyanga na geita?? Inamaanisha Mza kulikuwa na maendeleo yaliyowavutia wawekezaji...kumbe maendeleo yalikuwako kabla...Sasa hayo maendeleo ya awali yaliletwa na nn??
Tukumbuke kwamba miji yetu mikongwe hapa nchini ikiwemo Mwanza ilianzishwa na Utawala wa kikoloni wa kijerumani. Kwa upande wa kanda ya Ziwa serikali ya kikoloni ya Kijerumani ilianzisha mji wa Mwanza kama mji wao mkuu kwa ajili ya usimamizi wa shughuli zao hasa ukanda wa ziwa Victoria including Rwanda na Burundi ya leo. Wazungu huwa wapo very strategic sana wanaoanzisha jambo lao. Baada ya kuwa wame-survey ukanda wa ziwa wakaona kwamba Mwanza ndiyo Mahali panapofaa kuanzisha mji kwa ajili ya administration ya shughuli zao za kuitawala na mambo mengine kama hayo.

Hivyo baada ya kufanya hayo maamuzi utawala wa kijerumani ulianza kuwekeza miundombinu muhimu kama nyumba zao za makazi, maofisi na majengo mengine mbali mbali ya kiutawala. Kutokana na hatua hiyo Mwanza ikaanza kukua (kwa standard za wakati huo) hivyo wafanyabiashara has wenye asili ya asia (wahindi-wazee wa business) waliokuwa katika maeneo mbalimbali ya kanda ya ziwa na kwingineko wakachangamkia fursa za kibiashara kama maduka n.k (Kumbuka wazungu walikuwa hawadeal na business ndogondogo kama maduka). Wahindi waliokuwa katika maeneo mbalimbali ya kanda ya ziwa kama Mara, Kagera na hata Shinyanga wengi walihamishia shughuli zao za kibiashara katika mji wa Mwanza ambao mkoloni wa kijerumani na baadaye Muingereza walikuwa wamefanya uwekezaji wa kutosha. Ndio maana ni nadra sana hata leo hii kukuta duka au biashra ya mhindi Bukoba, Musoma na hata Shinyanga na kawa wapo ni wawili au watatu wengi walikimbilia Mwanza kwenye fursa kubwa ya kiuchumi. Hivyo hiyo inaweza kuwa mojawapo ya sababu za awali kabisa za kukua kwa mji wa Mwanza katika ukanda wa ziwa Victoria.

Pia nakubaliana na sababu nyingi ambazo wadau wamezitaja hapo juu. Lakini chimbuko hasa la kukua kwa mji wa mwanza ni kutokana na Uwekezaji walioufanya Wakoloni. (Compare DSM and Bagamoyo).
 
Tukumbuke kwamba miji yetu mikongwe hapa nchini ikiwemo Mwanza ilianzishwa na Utawala wa kikoloni wa kijerumani. Kwa upande wa kanda ya Ziwa serikali ya kikoloni ya Kijerumani ilianzisha mji wa Mwanza kama mji wao mkuu kwa ajili ya usimamizi wa shughuli zao hasa ukanda wa ziwa Victoria including Rwanda na Burundi ya leo. Wazungu huwa wapo very strategic sana wanaoanzisha jambo lao. Baada ya kuwa wame-survey ukanda wa ziwa wakaona kwamba Mwanza ndiyo Mahali panapofaa kuanzisha mji kwa ajili ya administration ya shughuli zao za kuitawala na mambo mengine kama hayo.

Hivyo baada ya kufanya hayo maamuzi utawala wa kijerumani ulianza kuwekeza miundombinu muhimu kama nyumba zao za makazi, maofisi na majengo mengine mbali mbali ya kiutawala. Kutokana na hatua hiyo Mwanza ikaanza kukua (kwa standard za wakati huo) hivyo wafanyabiashara has wenye asili ya asia (wahindi-wazee wa business) waliokuwa katika maeneo mbalimbali ya kanda ya ziwa na kwingineko wakachangamkia fursa za kibiashara kama maduka n.k (Kumbuka wazungu walikuwa hawadeal na business ndogondogo kama maduka). Wahindi waliokuwa katika maeneo mbalimbali ya kanda ya ziwa kama Mara, Kagera na hata Shinyanga wengi walihamishia shughuli zao za kibiashara katika mji wa Mwanza ambao mkoloni wa kijerumani na baadaye Muingereza walikuwa wamefanya uwekezaji wa kutosha. Ndio maana ni nadra sana hata leo hii kukuta duka au biashra ya mhindi Bukoba, Musoma na hata Shinyanga na kawa wapo ni wawili au watatu wengi walikimbilia Mwanza kwenye fursa kubwa ya kiuchumi. Hivyo hiyo inaweza kuwa mojawapo ya sababu za awali kabisa za kukua kwa mji wa Mwanza katika ukanda wa ziwa Victoria.

Pia nakubaliana na sababu nyingi ambazo wadau wamezitaja hapo juu. Lakini chimbuko hasa la kukua kwa mji wa mwanza ni kutokana na Uwekezaji walioufanya Wakoloni. (Compare DSM and Bagamoyo).
Sawa nimekupata
 
Back
Top Bottom