namaanisha pale tukio linavyoanza kutendeka wakati tukio linatendeka na baada ya tukio kutendeka huo ndo mudaunamaanisha muda ni matendo ama matukio..?
kumbuka hata kama kusipotendeka tukio muda upo.namaanisha pale tukio linavyoanza kutendeka wakati tukio linatendeka na baada ya tukio kutendeka huo ndo muda
explainTime is global,it occurs everywhere....
Unaamini hakuna time ila uchawi unaamini upo na unaupenda!Mind created phenomenon, time cannot be measured touched seen or sensed so at the end we can conclude that there is no such a thing called TIME

Yeah kwakuwa time sio uchawiUnaamini hakuna time ila uchawi unaamini upo!![]()

Time is an illusion.
..............................................
Time is an illusition. The only reality is THE PRESENT MOMENT
Apollo, are you alive cause majibu yako yakiastronaut kabisa.Time is an illusion.
Hakuna kitu kinaitwa time ambacho kipo kila mahali katika usawa.
Wakati ni zao la mabadiliko. Kutokana na hali ya kubadilika badilika kwa hali, vitu na matukio ndio maana tunaona kuna kitu kinaitwa wakati.
Ni kwanini naamini hivyo?
Kwa sababu endapo ulimwengu ungekuwa ni empty space, hakuna chochote wala hali haibadiliki na haitabadilika kamwe, hapo hakutakwepo na time. Kama wakati huu utabaki hivyohivyo kesho na kesho kutwa mpaka milele kwanini kuwepo na time? nini kitakachotofautisha wakati huu na wakati mwingine kama nyakati zote ni sawa?
Hivyo basi, wakati ni tokeo la mabadiliko. Kutokana na kuwepo kwa mabadiliko katika ulimwengu tumetengeneza nyakati ili kutofautisha badiliko moja na badiliko lingine.
Time is an illusition. The only reality is THE PRESENT MOMENT