KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
habari zenu wakuu,
kuna rafiki wangu mmoja ndio amenielezea kisa chake na anaomba ushauri.
Yeye anampenda sana binti mmoja,wako pamoja kwa karibu mwaka sasa,lakini shida kubwa ni huyo mwanamke anamwambia sometimes kuwa hana feelings naye,na sometimes feelings kwake zina kuwa za nguvu sana.kwenye mwaka mmoja hiyo inatokea mara nyingi sana.wote wawili ni wanafunzi wa masters,na kwa sasa binti ame kwenda kwao nyumbani,kama kwa ajili ya mwezi,na wakiongea kwenye simu,binti ka mwambia kwa siku mbili zilizopita hana feelings,hajui kama anampenda au hapana.kusikia hivyo rafiki wangu akamwabia basi kama ni hivyo bora tuachane,mwanamke akamwabia sitaki,ukiniacha nitaku miss.rafiki yangu akakata simu,na baadaye mwanamke kaanza kumpigia na kumwabia anam miss sana,anaomba asiachwe.yaani mwanamke anam miss sana,lakini sometimes hana uhakika kama anampenda.
sasa rafiki wangu haelewi chakufanya...
anaomba msaada wa dhati kutatua tatizo hili.
ahasanteni.
kuna rafiki wangu mmoja ndio amenielezea kisa chake na anaomba ushauri.
Yeye anampenda sana binti mmoja,wako pamoja kwa karibu mwaka sasa,lakini shida kubwa ni huyo mwanamke anamwambia sometimes kuwa hana feelings naye,na sometimes feelings kwake zina kuwa za nguvu sana.kwenye mwaka mmoja hiyo inatokea mara nyingi sana.wote wawili ni wanafunzi wa masters,na kwa sasa binti ame kwenda kwao nyumbani,kama kwa ajili ya mwezi,na wakiongea kwenye simu,binti ka mwambia kwa siku mbili zilizopita hana feelings,hajui kama anampenda au hapana.kusikia hivyo rafiki wangu akamwabia basi kama ni hivyo bora tuachane,mwanamke akamwabia sitaki,ukiniacha nitaku miss.rafiki yangu akakata simu,na baadaye mwanamke kaanza kumpigia na kumwabia anam miss sana,anaomba asiachwe.yaani mwanamke anam miss sana,lakini sometimes hana uhakika kama anampenda.
sasa rafiki wangu haelewi chakufanya...
anaomba msaada wa dhati kutatua tatizo hili.
ahasanteni.