What is the sweetest answer you ever heard from your kid?

What is the sweetest answer you ever heard from your kid?

Mie sjui kitu bhanaaa zaid ya kuona kila siku ni Nickelodeon na boomerang tuu
but hakuna lugha ninayopenda kama ya introvants manake ukicheza unaweza kukuta matus yametamkwa.

mwanangu alipokuwa na miaka 3 alikuwa anapena sana kukomba sufuria na hii ilitokana na ukweli kwamba ukoko wa uji wa lishe ni mtamu sanaa.

sasa bhana alikuwa hajui kuongea vzr so akikuona unamimina uji tu anaanza "mama mama taka ----- fi@ra" akimaanisha mama nataka kukomba sufuria.

siku ya kwanza baba yake amemskia aliogopa kidogo moyo upasuke ikabidi nimueleweshe na nijifunze kumpa iyo sufuria ama kumhakikishia kwamba ataikomba yeye kabla hajasema hayo maneno.

sasa hivi ni mkubwa 12 yrs na ivi ni wam kiume hata ukoko haupendi tena
 
Mie sjui kitu bhanaaa zaid ya kuona kila siku ni Nickelodeon na boomerang tuu
but hakuna lugha ninayopenda kama ya introvants manake ukicheza unaweza kukuta matus yametamkwa.

mwanangu alipokuwa na miaka 3 alikuwa anapena sana kukomba sufuria na hii ilitokana na ukweli kwamba ukoko wa uji wa lishe ni mtamu sanaa.

sasa bhana alikuwa hajui kuongea vzr so akikuona unamimina uji tu anaanza "mama mama taka ----- fi@ra" akimaanisha mama nataka kukomba sufuria.

siku ya kwanza baba yake amemskia aliogopa kidogo moyo upasuke ikabidi nimueleweshe na nijifunze kumpa iyo sufuria ama kumhakikishia kwamba ataikomba yeye kabla hajasema hayo maneno.

sasa hivi ni mkubwa 12 yrs na ivi ni wam kiume hata ukoko haupendi tena

How about this....'daddy I wanna go ride a ho'

'You wanna go do what baby?', 'ride a ho'

Hahahahaaa halafu mwenzio yuko serious hacheki wala nini.

Kumbe anamaanisha anataka kwenda horseback riding.....

Kids say the darndest things, I tell you.
 
How about this....'daddy I wanna go ride a ho'

'You wanna go do what baby?', 'ride a ho'

Hahahahaaa halafu mwenzio yuko serious hacheki wala nini.

Kumbe anamaanisha anatakwa kwenda horseback riding.....

Kids say the darndest things, I tell you.

hhahahhahahaha......................umenikumbusha mbali sana nikiwa mdogo kijijini
uncle wangu aliyekuwa ametangulia kuja mjini alirudi Xmass home na watoto wake wawili
sasa siye tulibahatiika kuwakuta babu na bibi hai. Ila babu alikuwa mzee anatembelea fimbo kichaga inaitwa (NSENGE)
sasa bibi akamwambia yule mtoto wa uncle nenda kalete "mse.nge" wa babuyako akijua anawmongelesha kiswajhili.

huyu bro nae akaenda straight kwa baba yake 'baba baba mse.nge wa babu' af palikuwa na watu wengi wazima wanapiga story. Alitolewa nduki na mzee mmoja acha kaabisa
 
Kuna katoto hako kana miaka 3 kanaimba unaramboo

aibu naonaga mimi
 
nilipata aibu siku moja,ila nilijifungia chumbani nikacheka sana,dogo alimuuliza mgeni kwangu,wakati anakula,"we unakula kwa watu?,kula kwa watu vibaya".jamaa aliacha kula,ana miaka 15 sasa,by then alikuwa 4yrs old

hahahaah,,,,,,,na wewe ndio ulisababisha akasema hivyo maana utakuwa ulimpiga mkwara kula kwa watu.
 
Back
Top Bottom