finance2014
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 314
- 79
Huwa nacheka sana mwanangu akisikia kwenye tv mtu akijitambulisha kwa jina la pendo anadhani ni yeye basi anafurahi kicheko chake lazima na,wewe ucheke
kuna picha ya nyerere anatabasamu kwa mbali kama mwanya flani hivi unaonekana ilikuwa inaoneshwa sana kwenye runinga kipindi kile cha msiba wa baba wa taifa mwaka 1999..so mdogo wangu akawa kila mda anaiangalia saanaa na mwisho akatuuliza....hivi mbona sielewi watu wanasema nyerere kaacha pengo kubwa wakati hapa kwenye picha ninaona pengo lenyewe dooogooo......daaahh by that time alikuwa na 6years kwa sasa akikumbuka anajicheka
acha tu, jisahau kulipia uone....mimi nakoma na baby tv.....
acha tu, jisahau kulipia uone....
hahha mpwa wangu dada yake anaitwa Tatu, so kishakatazwa kusema tatu kabisa ye ni dada tu... yupo around 3yrs!!!
sa anapojifunza kuhesabu ni moja, mbili, dada af anaendelea..... ukimwambia aseme tatu anaogopa dada atampiga
nilipata aibu siku moja,ila nilijifungia chumbani nikacheka sana,dogo alimuuliza mgeni kwangu,wakati anakula,"we unakula kwa watu?,kula kwa watu vibaya".jamaa aliacha kula,ana miaka 15 sasa,by then alikuwa 4yrs old
😀😀😀😀 dada yangu alikuwa anamwambia mwanae asile kwa watu atachukuliwa na majini sasa akienda hata kucheza kwa watu akikaribishwa kula utasikia me sili majini yatanichukua
I don't have a kid yet, but this reminds me what happened with my little 2 cousins 2 years back, they were 5 and 3. One day we was on our way back from checking up on some of my homeboys in the neighbor-hood, we met this Chick and neighbor i was kind of feeling. We stopped to say hi and what not, the kids got home before me, and when asked where i was, they replied 'Si yuko na kitu yake' with their poker faces while busy with cartoons. What they said, and how they said it, is still the most awesome !sh i ever heard from any kid to-date.
They taught me a great lesson, kids are damn smart, you never wanna underestimate them. Coz i didn't do/say anything that indicated she was my Chick to anyone, let alone kids, but they figured.