What is the proper diet after sex?

PSPA Pure'12 udsm

JF-Expert Member
Jan 11, 2013
829
443
Habari gani pareeeeee!!!?
Nimekuwa msomaji wa forum mbali mbali hasa kwenye mambo ya mapenzi. Kwa asilimia kubwa wengi wamekua wanafundisha mbinu za kumnasa mtu wa ndoto yako both me and ke.

Leo natamani sana wale wataalam wa Lishe waje watoe somo juu ya masuala ya mlo kamili kwa wapenzi bila kujali ni wanandoa au ni wasambaza Upendo wa kawaida tu.

Ni ukweli usiopingika hasa kwa vijana wa kiume kujihusisha na extreme sex bila kujua wale nini baada ya shughuli hiyo inayochoma nguvu nyingi za mwili. Na matokeo yake wanaishia kukonda tu. wale wanajitambua kidogo huishia kunywa supu tu na kuhisi ndo wamemaliza kazi. Japo mie sio mtaalam lkn nahisi wanatakiwa kula zaidi ya supu.

Maisha ya vijana wa kiume hasa waseja sio ya kupika pika. Akirudi kutoka anakofanyia kazi ameshakula kabisa hotelin, migahawani na kwa mama Ntilie. Akifika geto anagegeda usiku kucha.
Wengi wanatamani wajue mlo gani sasa wale baada Ya kazi hiyo.

Hata wale wanandoa wengi tu hawajui mlo gani ni muafaka baada ya tendo takatifu ili kurejesha afya zao ktk hali ya kawaida maana afya njema ni mtaji kwa Taifa lolote.

Karibuni kwa Wanaojua mtuelimishe, na wale waliopo kundi kama langu tukachukue daftari, penseli daftari na mfuto kwajili Ya kujifunza.
 
Habari gani pareeeeee!!!?
Nimekuwa msomaji wa forum mbali mbali hasa kwenye mambo ya mapenzi. Kwa asilimia kubwa wengi wamekua wanafundisha mbinu za kumnasa mtu wa ndoto yako both me and ke.

Leo natamani sana wale wataalam wa Lishe waje watoe somo juu ya masuala ya mlo kamili kwa wapenzi bila kujali ni wanandoa au ni wasambaza Upendo wa kawaida tu.

Ni ukweli usiopingika hasa kwa vijana wa kiume kujihusisha na extreme sex bila kujua wale nini baada ya shughuli hiyo inayochoma nguvu nyingi za mwili. Na matokeo yake wanaishia kukonda tu. wale wanajitambua kidogo huishia kunywa supu tu na kuhisi ndo wamemaliza kazi. Japo mie sio mtaalam lkn nahisi wanatakiwa kula zaidi ya supu.

Maisha ya vijana wa kiume hasa waseja sio ya kupika pika. Akirudi kutoka anakofanyia kazi ameshakula kabisa hotelin, migahawani na kwa mama Ntilie. Akifika geto anagegeda usiku kucha.
Wengi wanatamani wajue mlo gani sasa wale baada Ya kazi hiyo.

Hata wale wanandoa wengi tu hawajui mlo gani ni muafaka baada ya tendo takatifu ili kurejesha afya zao ktk hali ya kawaida maana afya njema ni mtaji kwa Taifa lolote.

Karibuni kwa Wanaojua mtuelimishe, na wale waliopo kundi kama langu tukachukue daftari, penseli daftari na mfuto kwajili Ya kujifunza.

waseja ndo watu gani hao mkuu, fafanua af ndo nije na mchango wangu
 
Matunda ndo kitu cha kwanza kabisa unachopaswa kula baada ya tendo la ndoa hasa ndizi mbivu kabla ya kula vya protein ama carbohydrates
 
supu ya pweza na nyagi.... karanga pembeni pamoja na maparachichi!!!! kwisha kazi
 
Maharagwe,kabichi na mayai ya kuchemsha,harufu ya ushuzi wake utamfanya akupendae awe anataka kuwa nawe muda wote.
Nalog off
 
Duuh!! Hayo makitu ya mamsosi mi sijui ila naona bi mkubwa huniandalia uji wa lishe au mtori kiwe ni kinywaji cha kwanza kabla ya msosi (ambao hutegemea na bajeti ya siku hiyo).

Kwa kawaida wasahili hatunaga hizo habari za misosi bana, we kama umekamua vya kutosha! Tafuta dona lako na maharage na mboga za majani pembeni siku imeenda!!

Nyie mnajiona afya inazorota baada ya game sababu mnakimbilia kula chips na soda!! Unategemea nini hapo na ikizingatiwa umepiga mzigo wa mibao ya uhakika kama saba hivi?
 
Duuh!! Hayo makitu ya mamsosi mi sijui ila naona bi mkubwa huniandalia uji wa lishe au mtori kiwe ni kinywaji cha kwanza kabla ya msosi (ambao hutegemea na bajeti ya siku hiyo).

Kwa kawaida wasahili hatunaga hizo habari za misosi bana, we kama umekamua vya kutosha! Tafuta dona lako na maharage na mboga za majani pembeni siku imeenda!!

Nyie mnajiona afya inazorota baada ya game sababu mnakimbilia kula chips na soda!! Unategemea nini hapo na ikizingatiwa umepiga mzigo wa mibao ya uhakika kama saba hivi?

supu ya ulimi
 
Hapo ndio jibu lilipo.
kula balanced meal. Iwe na protein, wanga, matunda na mboga za majani. Epuka deep fried foods, mafuta mengina sukari nyingi.

kama umri umesogea unahitaji protein izidi wanga, and vice versa kwa vijana.
we kama umekamua vya kutosha! Tafuta dona lako na maharage na mboga za majani pembeni siku imeenda!!

Nyie mnajiona afya inazorota baada ya game sababu mnakimbilia kula chips na soda!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom