What is freemansory?

What is freemansory?

Hawapambani na hali zao na hawajakuomba ushawishike nao,pia huwa wanahitaji watu wenye kuweza kuleta mchango zaidi katika maendeleo ya binadamu na sio kila mtu.
Wapambane na hali zao.....sitaki kushawishika mie.. 😀 😀 😀
 
Hawapambani na hali zao na hawajakuomba ushawishike nao,pia huwa wanahitaji watu wenye kuweza kuleta mchango zaidi katika maendeleo ya binadamu na sio kila mtu.


Sawa boss....naona una frustration zako kama jiwe....poleeee
 
Hii ni Taarifa na Uchambuzi mzuri sana kuhusu Freemason,jitahidi uweke kwa kiswahili pia mkuu utasaidia kuwaweka sawa watu wengi wanaopotosha,wanaopotoshwa,na kulishwa matango pori kuhusu hii fraternity.
 
"There are three basic requirements to becoming a Freemason.

1. You must be a man. We are a Fraternity...."

Why Man?
 
Unafahamu majeshi mengi duniani yalikuwa hayaajiri wanawake kwa muda mrefu sana?
Unafahamu kuna dini haziruhusu wanawake kuwa viongozi katika dini hizo?
Hata hivyo baadhi ya sehemu freemason wameanza kuruhusu wanawake.
"There are three basic requirements to becoming a Freemason.

1. You must be a man. We are a Fraternity...."

Why Man?
 
Unafahamu majeshi mengi duniani yalikuwa hayaajiri wanawake kwa muda mrefu sana?
Unafahamu kuna dini haziruhusu wanawake kuwa viongozi katika dini hizo?
Hata hivyo baadhi ya sehemu freemason wameanza kuruhusu wanawake.
Nimeuliza swali rahisi sana,

"Kwanini Wanaume??"

Unaniletea blah blah za majeshi na dini,
Ngoja aliyeileta mada aje aijibu kitu kama huna elimu nacho kipotezee tu.
 
Zamani za kale,ilikuwa inapaswa uwe mwanaume
Coz Wanawake walikuwa wana hesabika kama c kitu (Yaani c Binadama wa kutegemewa).

Lakini pia,wanawake wengi walikuwa hawana michango katika jamii zao uki linganisha na wanaume na ndiyo maana ℅kubwa walikuwa ni Wanaume kutokana na Mfumo dume!
Japo member wa kike walikuwepo ref (Familia ya Malkia).

Lakini kadiri siku zinavyokwenda na kuzidi kuyoyoma.
Nao wame boresha vigezo na mambo yao coz hata masonic wa kike wapo na wao wana madaraja yao
Lakini Ibada zao huwa tofaut na wanaume,wao huwa wana sehemu zao maalum za kusali na huwa wapo peke yao (Wanawake Tu)
Japo kuna majira/Ibada huwa wana shiriki wote pasipo kuangalia Gender..

Ila ki Ufupi.
Masonic wa Kike Wapo Wengi Tuu
Japo imezoeleka ℅kubwa huwa Wanaume!
"There are three basic requirements to becoming a Freemason.

1. You must be a man. We are a Fraternity...."

Why Man?
 
Back
Top Bottom