What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

 
 
Mie nashangaa utadhani Halima huwa anashangilia kupitisha Bajeti ya MAJI na UJENZI
...Dogo usidhani kuwa hilo bunge huwa hatufatilii tunaelewa kila kinachoendelea huko bungeni na hata hivyo vikwazo wanavyopata kwenye hizo bajeti tunaelewa. Haimaanishi kuwa ndio mwisho wa yeye kama mbunge aweke mikono nyuma akae chini. May be nikupe ushauri tu dogo unaweza kuacha jazba za kitoto yeye kama mbunge hukutananna madiwani na kuzungumza mambo mbalimbali ya maendeleo katika jimbo lake hapa ndipo nguvu na busara ya mbunge inapoonekana. Hata huyio mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni anapokuta mbunge na madiwani wako firm usitegemee kama ataleta ujinga.....kwani akiongea kule mjengoni akaonekana runingani ndio basi???
 

Futa kauli zako I mean hili neno ''Dogo'' naona hapo unafika mbali......Kwani ukitumia soft language huwezi kueleweka..?
 
halima mdee kama mwakilishi wa wana kawe ndio mwenye haki ya kuiuliza serikali imefanya yapi pale jimboni kawe kuanzia uhuru mpaka leo hii.

Jee amefanya hivyo... mara nyingi bungeni mimi huwa naona anatetea mambo mengine.... kwanini asiwe kama Ndesamburo kule Moshi....
 
kuna wabunge wangapi nchi nzima mpaka umseme Mdee peke yake? Una lako jambo wewe. Jiulize wewe mwenyewe umeifanyia nini familia yako kwanza. Achana na Halima awakilishe jimbo.
 
angetusaidia barabara ya makongo juu- (kule ndanindani kwenda kwake) siyo pale chuo cha ardhi angeitengeneza yeye kama yeye "HALIMA MDEE" na sisi tufaidiiii!!!! kupitia mbunge wetu!!!kama waheshimiwa wengine walivyofanya m.f kuelekea kijijini kwa mtoto wa mkulima n.k
 
kuna wabunge wangapi nchi nzima mpaka umseme Mdee peke yake? Una lako jambo wewe. Jiulize wewe mwenyewe umeifanyia nini familia yako kwanza. Achana na Halima awakilishe jimbo.

Hahahahha..... stop being emotional....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…