Khaa noma
Bora hata huyo mchora kibonzo anabusara kuliko huyo prof uchwara
Alikuwa anajielezea yeye kwamba ni zaidi ya ZombiHiyo picha alikuwa anaifanyia maelezo gani?
Ukiwa CCM hata uwe profesa, automatically unageuka kuwa zombie.Alikuwa anajielezea yeye kwamba ni zaidi ya Zombi
ahhahahh,amepodoka, uongo?Na anatumika kwelikweli, angekuwa Salome tungesema amejipodoa...amepodoka