Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
Masuruali mapana mishati mipana mikubwa na t shirt kama Pepe kale na humwambii kitu kuyabadili.
Tena na tenaHapo ndo utajua kuwa Ex wa Mwanamke wako ana uwezo wa Kumla Tenaa
Big no! Sema huyu wa mwisho nimemmiss tu ila hatuwezi kusex hata iweje
ndio maana muliachanaAache kula bata zake aingie humu hapana......namjua
Hiyo ni akili ya mtu binafsi awe mwanamke au mwanaume
Kabisa makoyo, kwnn waliachana kama walikuwa wanapendanaWote mnaokumbuka Ex wenu kwa UZINZI hamtakaa muwe na ndoa salama hata siku moja.
Unless mmeamua kutokuoa na kuolewa maishani mwenu.
Nawasikitikia sana
😛😛 yes sikatai ila sio kama nasex nae isitoshe yupo mbali sana na mimi.......mimi nina tabia ya ajabu sana hapa nasema hivi coz nipo single ila nikipata mwingine akanijali zaidi yake uwa namsahau wa zamani na ndo nipo ivo......Hapo unaposema hamsex ndio unadanganya.....maana unamkumbuka sn kwny issue hiyo tu
Acha uongo...mbona mi mara kibao tunakumbushia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amigo.......au lugha ya malkia tatizo comrade mwenzangu???

Umeuwa dadaa, mbavu zanguMasuruali mapana mishati mipana mikubwa na t shirt kama Pepe kale na humwambii kitu kuyabadili.

Hamna lolote hapo analowaza mtu ndio linalomtokea...endeleeni tu na ma x😛😛 yes sikatai ila sio kama nasex nae isitoshe yupo mbali sana na mimi.......mimi nina tabia ya ajabu sana hapa nasema hivi coz nipo single ila nikipata mwingine akanijali zaidi yake uwa namsahau wa zamani na ndo nipo ivo......
Na kweli utawaza wangapi ma-x wanajaa costaMtu binafsi kama ww sio mm....nitawaza watu wangapi ss?!

Na kweli utawaza wangapi ma-x wanajaa costa![]()
![]()
Mi namiss ukorofi wake maana ni mkorofi sijapata kuona
Nakumbuka kuna siku usiku tulitoka wote kwenda kwenye function kuna mtu akajua nko mwenyewe akaomba number weeeeee sitakaa nisahau
But I still love him ivyooo na maukorofi yake ila hajawahi kuinua mkono kunidhuru even a single second



teh teh sawaAmigo.......
Hii lugha ilisha nishinda, labda hadi jioni nikisha piga kanywaji....![]()
![]()
bby please come backNimemiss hela zake, shopping zake na the way alivyokuwa anani treat kama katoto.