What do you miss about your ex?

What do you miss about your ex?

Namiss kuambiwa "We endelea tu na vijichepuko vyako,hata unifanyie nini mi nakupenda ivo ivo"
Huyu wa sasa nakoma kumjua ila simwambii,yani nabanwa kiasi kwamba marafiki wanajua naumwa kumbe nimefungiwa ndani kwa wivu tu!!...sitamuacha salama huyu
bora yupi
 
Kwahiyo ma x zako wanakukaza?!....i respect myself kwa kiasi cha kutowasiliana wala kufanya chochote na mtu tukishaachana
Big no! Sema huyu wa mwisho nimemmiss tu ila hatuwezi kusex hata iweje
 
Binafsi, I miss not having her. Alikuwa kero mno, maisha yake ni ya kibongo fleva tu, ushamba na kuiga vya wamarekani kutwa kucha. Mnaweza kuwa kitandani mmelala na kuongea yeye yuko Insta au Fesibuku kuangalia maisha ya watu wengine, kisha kesho yake atataka kuiga yale aliyoona na huku kazi hana.
 
Move on bhna mapenzi ya utotoni yasikupe shida afu kama yupo tayari kumuacha mwanaume mwingine kwa ajiri yako kwann Hua mnaachana huoni kama anakuacha kwasababu ya mwanaume mwingine?
Huyo sio Mwanamke wa kuoa mmeachana Mara mnarudiana ndo nini

point kbs,kiujumla y ummis x wako mi hapana aic nahisg ashakuwa screpa aic m sorry
 
Namkumbuka ex Wang kila jumapili akija ghetto alikuwa amelowa papuchi nikimuulza anasema ni kawaida kwa wanawake, siku siku nikapigiwa simu na njemba nyingine ambayo nayo ilikuwa inammiliki ikaongea kistaarabu Sana baadae nakuja kupata akili kumbe lile lidemu lilikuwa linapitia asubuhi kwa jamaa a aligegeda mpaka saa sita halafu linakuja kwangu naligegeda mpaka jioni, weekend nyingine linaanzia kwangu naligegeda mpaka sa sita tena linaenda kwa jamaa nayeye analigegeda mpaka jioni,
Nilishtuka jamaa aliponiambia kuwa huwa anaenda asubuh jumapili mpaka saa sita.
Dooo demu lilikuwa chafu lile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom