What do you miss about your ex?

What do you miss about your ex?

Why mliachana??
sababu ni nyingi ..huwa tunaachana tunarudiana..na sababu zote mimi ndo chanzo!! ... ila kwa kuwa sijaoa na yeye hajaolewa mpaka sasa..natumai nikionana nae ikitokea ntamuomba turudiane tu...maana hamna namna nimezunguka sana sijapata wa kumreplace Suzan
 
We bwana sijui vipi. Comment yako ya kwanza nimeivumilia nimepita kimya hivi kwa nini watu wengine mnakuwa wabinafsi hivi? Unalaumu wanawake tu kwani hao ma-x wa wanawake ni midoli? Kwa hiyo mwanamke kulala na x wake ni dhambi ila mwanaume sio dhambi?
Kwann ulale na exwako wakati unamdate mtu mwengine!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom