What are the best driving schools in Tanzania

PierreLiquid

JF-Expert Member
Oct 16, 2019
596
2,280
Habari wakuu, naomba kuuliza. Ni Chuo gani chenye gamba zuri linalothaminiwa kwenye mafunzo za udereva ya awali
 
Vyeti vya VETA na NIT ndio rasmi vinavyotambulika

ila kwa mafunzo ya awali tafuta shule za udereva zipo nyingi au mtaani uhakikishe umeiva vema ndio uende NIT au VETA

NB: pale hufundishwi kuanza upya, sana sana unaendwa kupimwa kama umeiva vema kwa mafunzo ya darasani na Barabarani
 
Vyeti vya VETA na NIT ndio rasmi vinavyotambulika

ila kwa mafunzo ya awali tafuta shule za udereva zipo nyingi au mtaani uhakikishe umeiva vema ndio uende NIT au VETA

NB: pale hufundishwi kuanza upya, sana sana unaendwa kupimwa kama umeiva vema kwa mafunzo ya darasani na Barabarani
Nakazia hapa
 
Ukishaanza udereva wa awali, itachukua miaka mingapi kufikia udereva wa malori au mabasi ?? ..
 
Ndanda Driving School... Ipo Ndanda Wilaya Ya Masasi huko Mtwara.
Under Ndanda Mission OSB..
Hutajutia Kujifunza ukitoka hapo hata Ikulu hawana wasiwasi na wewe
 
Na naomba kuuliza, hivi unapoenda driving school ni kwamba unaomba kujifunza gari specific tu mfano magari ya class e pekee yake au ni general..
Kwa mfano tuseme mimi nataka kuendesha scania peke ,hapo inakuwaje wadau
 
Mkuu tupe uzoefu wa hilo swali hapo chini kama hutojali ..
Mkuu hii kitu inategemea na ujanja wako tu. Kuna wengine wenye bahat zao ile wanaanza tu leseni inaanza C, na sio D.
Kwa kawaida ni kuanzia miaka mitatu.
Alaf ile sheria ya dereva wa bus kubwa au Lori aanzie umri wa miaka 40s (sijui Niko sawa hapo kweny miaka!?) Ilifutwa au bado ipo?
 
Mkuu hii kitu inategemea na ujanja wako tu. Kuna wengine wenye bahat zao ile wanaanza tu leseni inaanza C, na sio D.
Kwa kawaida ni kuanzia miaka mitatu.
Alaf ile sheria ya dereva wa bus kubwa au Lori aanzie umri wa miaka 40s (sijui Niko sawa hapo kweny miaka!?) Ilifutwa au bado ipo?
Iyo sheria nadhani ipo kwenye mabasi tu kwa upande wa malori nadhani kuanzia miaka 24 .. hapo kwenye kuanzia C ndo inakuaje mkuu embu nope muongozo kidogo ..
 
Iyo sheria nadhani ipo kwenye mabasi tu kwa upande wa malori nadhani kuanzia miaka 24 .. hapo kwenye kuanzia C ndo inakuaje mkuu embu nope muongozo kidogo .
Ujanja unafanyika wakati wa kuandaliwa leseni. Kujuana na pia Pesa inachangia
 
Back
Top Bottom