What a golden heart ! God bless the lady

What a golden heart ! God bless the lady

Watu hawajizuii kiJudge watu kutokana na appearance yao.

Nina rafiki yangu ni yeye na vimini, vimini na yeye. She smokes, takes Marijuana and has tattoos. watu wanamsema sana.... Mara malaya. Kaharibikiwa...

She's the kindest person I know. Hana umbea na majungu. Ana chozi la karibu. Yeye na vimini vyake na tattoo zake ndo naendaga naye kwenye orphanage moja hapa Dar kubeba watoto.

DON'T JUDGE PEOPLE FROM THEIR APPEARANCE.
 
Watu hawajizuii kiJudge watu kutokana na appearance yao.

Nina rafiki yangu ni yeye na vimini, vimini na yeye. She smokes, takes Marijuana and has tattoos. watu wanamsema sana.... Mara malaya. Kaharibikiwa...

She's the kindest person I know. Hana umbea na majungu. Ana chozi la karibu. Yeye na vimini vyake na tattoo zake ndo naendaga naye kwenye orphanage moja hapa Dar kubeba watoto.

DON'T JUDGE PEOPLE FROM THEIR APPEARANCE.
Hii ndio comment nzuri kuliko zote nilizowahi kuzisoma kwa Siku ya Leo.. l salute you housegirl !
 
Uliwahi ona wapi waafrica tunapendana?sisi ndio mabingwa wa u selfish bana,roho mbaya na ukatili vimetawala kwetu
 
IMG_20160515_111827.JPG


🙂🙄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom