Hivi leo ilikua Eid eeh,
Mi hata sijui, nimefurahi rafiki yangu katuma salamu za Eid toka jana.
Kuna swali najiuliza, kwanini wasilamu ni mna Uchoyo mwingi sana.
Mbona mnapenda shirki ya kufunga ila ikifika kufungua mnajifungia majumbani kwenu.
Madukani mko nyie tu,barabarani mmejaa nyie,kila mahali mpo tu.
Mtu unajiuliza hawa viumbe mnawatembeza walikua wapi?
Family ya watu 12 wameongozana kula eid.
Kwanini msiwape goodtime hawa wazee na wanawake na watoto mpaka ifike Eid ndo mnawatoa ndani kama mifugo.
Ni swali fikirishi ambalo halihitaji majibu.
Nna marafiki zaidi ya 100 hapa wasilamu hamna hata mmoja kanialika ubwabwa kwao.
Hawa binadamu wana roho mbaya sana