WFP yasema watu Milioni 2.4 kukabiliwa na baa la njaa nchini Kenya

Hiyo pesa wewe unadhani ametoa kwa uma? mbona wewe boya hivi uko na dhibitisho utuonyeshe tuwafungulie mashtaka?., weka humu niko tayari kusambaza..,
Wewe ni kajinga!

Ufisadi ni shehemu ya maisha hapo Kenya ndio maana unaandika haya.

Wewe mwenyewe unaliwa na umasikini ila kwakuwa Uhuru ni mtu wa kabila lako uko tayari kumtetea hata akija kukubebea mke wako.
 
Kwa hiyo na nyie sasa mnataka tuanze kuzipuuza habari za njaa hapo Kenya kama za somalia maana si mpya?

Nikuinee wivu kwa lipi? Huo ukame na vumbi mlilonalo ndio nione wivu?

Kumbe hata yale maauji ya kikabila ya baada ya uchaguzi wa 2007 ni sababu Kenyata alikuwa na wafuasi vilaza kama wewe?
I am not for or against Kenyatta wewe boya., I am arguing based on facts, wewe unakurupuka fikra zako tu humu bila evidence, yaani chuki na wivu tu ndio driving force ya reasoning yako, thus u cant think rationally, u are very subjective and negative all through., sasa mauaji ya kikabila inatokea wapi hapa? nakuambia wewe ni boya, rudi shule bado mda iko, kisha utarudi tutaelewana., 😂 😂 😂 😂 ..,
 
Wewe ni kajinga!

Ufisadi ni shehemu ya maisha hapo Kenya ndio maana unaandika haya.

Wewe mwenyewe unaliwa na umasikini ila kwakuwa Uhuru ni mtu wa kabila lako uko tayari kumtetea hata akija kukubebea mke wako.
Ona sasa, unajuaje Uhuru ni wa kabila langu? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 yani am arguing with an idiot kweli.., kaka jipe shughli, hauna uwezo wa ki fikra ama ku argue., akili fupi sana hii 😂 😂 😂 😂 , I hate baseless reasoning..,
 
Ona sasa, unajuaje Uhuru ni wa kabila langu? yani am arguing with an idiot kweli.., kaka jipe shughli, hauna uwezo wa ki fikra ama ku argue., akili fupi sana hii , I hate baseless reasoning..,
Wewe endelea kutetea wanaume wenzio wanaficha mihela nje ya nchi huku wewe ukiliwa na umasikini.

Ni aibu kwa nchi kujulikana dunia nzima kwamba inakabiliwa na njaa alafu hapo hapo zinakuja taarifa rais wake kaficha mabilioni nje ya nchi.

Hii ndio shithole Country yenyewe sasa
 
I am not for or against Kenyatta wewe boya., I am arguing based on facts, wewe unakurupuka fikra zako tu humu bila evidence, yaani chuki na wivu tu ndio driving force ya reasoning yako, thus u cant think rationally, u are very subjective and negative all through., sasa mauaji ya kikabila inatokea wapi hapa? nakuambia wewe ni boya, rudi shule bado mda iko, kisha utarudi tutaelewana., ..,
Evidance zipi sasa?

Habari za ufisadi wa viongozi wa kenya unataka kupewa evidance na nani?

Kwamba kuna mamilioni wanakosa chakula hapo kenya unataka evidance kutoka kwa nani?
 
Evidance zipi sasa?

Habari za ufisadi wa viongozi wa kenya unataka kupewa evidance na nani?

Kwamba kuna mamilioni wanakosa chakula hapo kenya unataka evidance kutoka kwa nani?
Wewe endelea kutetea wanaume wenzio wanaficha mihela nje ya nchi huku wewe ukiliwa na umasikini.

Ni aibu kwa nchi kujulikana dunia nzima kwamba inakabiliwa na njaa alafu hapo hapo zinakuja taarifa rais wake kaficha mabilioni nje ya nchi.

Hii ndio shithole Country yenyewe sasa
Laana na ujinga ni taifa linalotajwa miongoni mwa mataifa ya watu wengi fukara wa kutupwa na liko na ardhi kubwa yenye rotuba.., aibu sana., nature is taking care of you, hamujiwezi, so fyata.
 
Kupika takwimu eti? What is your revenue(pato) kutoka kwa hiyo gdp yenu ya $65b?.., uchumi wa kwenye makaratasi ni wa Tanzania., city moja tu yaani dar yenye ni slum 90%, pato la Mombasa port ni kubwa mara mbili ya pato zote za ports zenu., uchumi hafifu, annual revenue yenu ni kidogo sana ukilinganisha na size ya nchi na population, ina maanisha watu wengi ni wazembe tu, hawana faida yeyote kwa uchumi wa Tanzania, wewe ukiwa mmoja wao, kiukweli nyie nature is taking care of you, nyie hamujiwezi kabisaa, ni nchi kubwa yenye rotuba na mvua mingi, ndio maana mifukara kule vijijini hela hawana kabisaa lakini wanachemsha mihogo na maharage na kukula kavu kavu, janga likitokea mtahama nchi, siwaombei iwakute, na sitamani, ila mko hovyo sana, haitakiwi mtajwe miongoni mwa taifa zenye watu wengi fukara wa kutupwa., ni laana ya kiaina, ama ni wa ukoo tokea mababu, nyie hamkombolewi na any economic strategy, mnahitaji kufanyiwa tambiko., hii yenyu naona ni giza.,
Hizi story waambie wakazi wa Kibera waliokosa chakula uone kama watakuelewa.
 
Chakula ndio hitaji la kwanza kabisa kwa binadamu yeyote.

Ukiona mtu anajisifia nchi yake ina uchumi mkubwa au watu wake wana kipato kikubwa, halafu ukasikia nchi hiyo hiyo inasumbuliwa na tatizo la njaa. Ujue huyo mtu anapaswa kupimwa akili.
 
Yes nchi ya kibepari, kila mtu ajitetee., mwenye nguvu mpishe, nyie na ujamaa bado mnatajwa miongoni mwa nchi yenye watu wengi fukara wa kutupwa unatuambia nini, mtanzania hawezi kushauri mkenya kamwe, you have a plunk in your eye kisha unataka kutoa a stick in kenya's eye.., pambaneni na hali ya kwenu kwanza..,
Endelea kusifia utajiri wa wanaume wenzio,kenya hivi kenya vile kumbe hata kiwanja cha 20×20 unakodishwa ujenge
 

Kenya sio size yenu fukara.., inadhihirika wazi kwa mengi tu licha ya changamoto zetu..,​

Kenya is the fourth African country with the wealthiest individuals after Nigeria, South Africa, and Egypt - Report

VICTOR OLUWOLE

September 7, 2021 5:28 PM

The Swiss Investment Bank's Research Institute has released a new report that ranked Kenya as the 4th African country with the highest concentration of wealthy individuals after Nigeria, South Africa, and Egypt.
View attachment 1965003
Billionaires’ Club: Top 20 richest people in Africa [Updated]


According to the report, Credit Suisse's 12th edition of the Global Wealth Report, Kenya ranks fourth in Africa with the highest concentration of wealthy individuals whose total wealth is estimated at ($338billion) as of 2020.

In East Africa, Kenya ranks 1st place, followed by Rwanda, whose wealth per adult stands at $4,188; Tanzania ($3,647); Uganda ($1,994); Democratic Republic of Congo ($1,240) and Burundi ($728).
In Africa, the report noted that the continent's total wealth barely changed, with exchange rate appreciation accounting for the slight change in wealth in the continent. The report, however, did not release the names of the wealthiest individuals who made it to the 2020-2021 list.
Globally, the report highlighted that wealth grew by 7.4 per cent last year, and wealth per adult rose by six per cent to $79,952. It added that the countries most affected by the pandemic did not fare poorly in terms of wealth creation as "Wealth creation in 2020 was largely immune to the challenges facing the world due to the actions taken by governments and central banks to mitigate the economic impact of Covid-19," the report stated.

Kenya's heavy debt burden and rising millionaires list​

One critical insight the Global Wealth Report revealed is that Kenya is East Africa's most heavily indebted country. According to the report, Kenya has recorded several high profile government scandals, including corruption and misappropriation of funds that has created overnight millionaires.
The report ranked Kenya as a middle-income country with a debt estimated at over $64.22 billion, adding that every adult in the country is carrying a debt load of about $523. Other countries in the region did not fare poorly in terms of debt burden, with the study showing that every adult in Tanzania carries a debt load of $137, followed by Rwanda ($135), Uganda ($107), Burundi ($37) and the Democratic Republic of Congo ($36).
View attachment 1965006VICTOR OLUWOLE

View attachment 1965002

View attachment 1965003

View attachment 1965004

View attachment 1965005
Wewe acha ujuaji.Ujuaji mwingi ukaribisha upumbavu.
Nchi ambayo inasemekana kuwa na hali nzuri kimaendeleo ya kiuchumi na kijamii ni nchi yenye kutoa huduma za kijamii/umma itakikanavyo pamoja na food security.
HAKUNA TAIFA DUNIANI AMBALO LINA UCHUMI IMARA HALAFU LINAPOKEA MSAADA WA CHAKULA.
Kama kweli ninyi sio size yetu tumieni hzo hela kuchimba visima virefu penye ukame na muanzishe kilimo cha umwagiliaji cha kisasa.
Msisingizie mara hv mara vile
 
Back
Top Bottom