WFP yasema watu Milioni 2.4 kukabiliwa na baa la njaa nchini Kenya

Sasa kama unaona Kenyata kuficha mabilioni nje ya nchi haijaathiri chochote Kenya unataka bado nikuone una akili kweli?
Huyo mla miraa atoe wapi akili?

Ama hujaona hapo anamtetea mtu wa kabila lake "siasa za mtu wetu"

Dept to GDP ratio inakaribia kugonga 100% wapo humu wala hawaelewi chochote.

Mwambie akuonesha debt to GDP ratio ya Kenya
 
Ila Uhuru anaendelea kujinenepea 🤣View attachment 1964967
Aisee anafura vibaya munoo!

Like father like son

97486073_10157282625058441_4934751822049968128_n.png
 
Sasa kama unaona Kenyata kuficha mabilioni nje ya nchi haijaathiri chochote Kenya unataka bado nikuone una akili kweli?
What is $30M kilaza? ata kwa Tanzania hii ni kidogo sana 😂 😂 😂 , alafu ametoa wapi hizi hela walizo wekeza nje? kwa biashara zao ambazo ni kibao, ama utasema ameiba kwa uchumi wa Kenya?, mzee kenyatta ali wawachia mali na wao wakazipanua zaidi kwa kufanya biashara, ata kama mzee aliiba mali ya kwanza, Kenyatta family wamefanya biashara sana na kupanua mali yao, iwe halali ama kimagendo.., ni dunia ilivyo, hawatoi kwa uchumi wa Kenya, yaani hawapori, historia ya unyakuzi wa mashamba alio fanya mzee wao ndio inaleta tatizo, chochote kikitajwa kuwahusu ata ile city wanao jenga pale juja, raiya watasema ni hela za uwizi, lakini mimi najua ni ubepari, wamechangamkia fursa mingi sana kwa ajili ya connections walio nao.., wewe kilaza kweli., learn to differentiate politics in play vs reality.,
 
Huyo mla miraa atoe wapi akili?

Ama hujaona hapo anamtetea mtu wa kabila lake "siasa za mtu wetu"

Dept to GDP ratio inakaribia kugonga 100% wapo humu wala hawaelewi chochote.

Mwambie akuonesha debt to GDP ratio ya Kenya

Kenya sio size yenu fukara.., inadhihirika wazi kwa mengi tu licha ya changamoto zetu..,​

Kenya is the fourth African country with the wealthiest individuals after Nigeria, South Africa, and Egypt - Report

VICTOR OLUWOLE

September 7, 2021 5:28 PM

The Swiss Investment Bank's Research Institute has released a new report that ranked Kenya as the 4th African country with the highest concentration of wealthy individuals after Nigeria, South Africa, and Egypt.
Billionaires’ Club: Top 20 richest people in Africa [Updated]

Billionaires’ Club: Top 20 richest people in Africa [Updated]


According to the report, Credit Suisse's 12th edition of the Global Wealth Report, Kenya ranks fourth in Africa with the highest concentration of wealthy individuals whose total wealth is estimated at ($338billion) as of 2020.

In East Africa, Kenya ranks 1st place, followed by Rwanda, whose wealth per adult stands at $4,188; Tanzania ($3,647); Uganda ($1,994); Democratic Republic of Congo ($1,240) and Burundi ($728).
In Africa, the report noted that the continent's total wealth barely changed, with exchange rate appreciation accounting for the slight change in wealth in the continent. The report, however, did not release the names of the wealthiest individuals who made it to the 2020-2021 list.
Globally, the report highlighted that wealth grew by 7.4 per cent last year, and wealth per adult rose by six per cent to $79,952. It added that the countries most affected by the pandemic did not fare poorly in terms of wealth creation as "Wealth creation in 2020 was largely immune to the challenges facing the world due to the actions taken by governments and central banks to mitigate the economic impact of Covid-19," the report stated.

Kenya's heavy debt burden and rising millionaires list​

One critical insight the Global Wealth Report revealed is that Kenya is East Africa's most heavily indebted country. According to the report, Kenya has recorded several high profile government scandals, including corruption and misappropriation of funds that has created overnight millionaires.
The report ranked Kenya as a middle-income country with a debt estimated at over $64.22 billion, adding that every adult in the country is carrying a debt load of about $523. Other countries in the region did not fare poorly in terms of debt burden, with the study showing that every adult in Tanzania carries a debt load of $137, followed by Rwanda ($135), Uganda ($107), Burundi ($37) and the Democratic Republic of Congo ($36).
Victor Oluwole VICTOR OLUWOLE

1633502878316.gif


1633502878284.gif


1633502878346.gif


1633502878376.gif
 

Kenya sio size yenu fukara.., inadhihirika wazi kwa mengi tu licha ya changamoto zetu..,​

Kenya is the fourth African country with the wealthiest individuals after Nigeria, South Africa, and Egypt - Report

VICTOR OLUWOLE

September 7, 2021 5:28 PM

The Swiss Investment Bank's Research Institute has released a new report that ranked Kenya as the 4th African country with the highest concentration of wealthy individuals after Nigeria, South Africa, and Egypt.
View attachment 1965003
Billionaires’ Club: Top 20 richest people in Africa [Updated]


According to the report, Credit Suisse's 12th edition of the Global Wealth Report, Kenya ranks fourth in Africa with the highest concentration of wealthy individuals whose total wealth is estimated at ($338billion) as of 2020.

In East Africa, Kenya ranks 1st place, followed by Rwanda, whose wealth per adult stands at $4,188; Tanzania ($3,647); Uganda ($1,994); Democratic Republic of Congo ($1,240) and Burundi ($728).
In Africa, the report noted that the continent's total wealth barely changed, with exchange rate appreciation accounting for the slight change in wealth in the continent. The report, however, did not release the names of the wealthiest individuals who made it to the 2020-2021 list.
Globally, the report highlighted that wealth grew by 7.4 per cent last year, and wealth per adult rose by six per cent to $79,952. It added that the countries most affected by the pandemic did not fare poorly in terms of wealth creation as "Wealth creation in 2020 was largely immune to the challenges facing the world due to the actions taken by governments and central banks to mitigate the economic impact of Covid-19," the report stated.

Kenya's heavy debt burden and rising millionaires list​

One critical insight the Global Wealth Report revealed is that Kenya is East Africa's most heavily indebted country. According to the report, Kenya has recorded several high profile government scandals, including corruption and misappropriation of funds that has created overnight millionaires.
The report ranked Kenya as a middle-income country with a debt estimated at over $64.22 billion, adding that every adult in the country is carrying a debt load of about $523. Other countries in the region did not fare poorly in terms of debt burden, with the study showing that every adult in Tanzania carries a debt load of $137, followed by Rwanda ($135), Uganda ($107), Burundi ($37) and the Democratic Republic of Congo ($36).
View attachment 1965006VICTOR OLUWOLE

View attachment 1965002

View attachment 1965003

View attachment 1965004

View attachment 1965005
Hizi maneno wapelekee wakenya wasiokuwa na chakula uone kama watakuelewa.

Pamoja na Tanzania kuwa na mvua ya kutosha lakini bado tumewaacha mbali nyie wakunya kwenye kilimo cha umwagiliaji.

Halafu upo hapa kutapatapa ujinga.
 
Hizi maneno wapelekee wakenya wasiokuwa na chakula uone kama watakuelewa.

Pamoja na Tanzania kuwa na mvua ya kutosha lakini bado tumewaacha mbali nyie wakunya kwenye kilimo cha umwagiliaji.

Halafu upo hapa kutapatapa ujinga.
Kwa propaganda hamjambo, ukweli ni mchungu, vumilia fukara, Kenya ni nchi ya kibepari, mwenye nguvu mpishe, baki kule kwa ujamaa ukiendelea kukula mihogo na maharage, tuwache tupambane na vya kwetu., wewe inakuwashia nini?
 
What is $30M kilaza? ata kwa Tanzania hii ni kidogo sana , alafu ametoa wapi hizi hela walizo wekeza nje? kwa biashara zao amabazo ni kibao, ama utasema ameiba kwa uchumi wa Kenya?, mzee kenyatta ali wawachia mali na wao wakazipanua zaidi kwa kufanya biashara, ata kama mzee aliiba mali ya kwanza, Kenyatta family wamefanya biashara sana na kupanua mali yao, iwe halali ama kimagendo.., ni dunia ilivyo, hawatoi kwa uchumi wa Kenya, yaani hawapori, historia ya unyakuzi wa mashamba alio fanya mzee wao ndio inaleta tatizo, chochote kikitajwa kuwahusu ata ile city wano jenga pale juja, raiya watasema ni hela za uwizi, lakini mimi najua ni ubepari, wamechangamkia fursa mingi sana kwa ajili ya connections walio nao.., wewe kilaza kweli., learn to differentiate politics in play vs reality.,
Ndio maana nakwambia wewe ni mjinga!
.
Hata ingekuwa $1 ni nyingi hiyo hela ya uma siyo yake!

Hivi dola milioni 30 unadhani zisingefanya chochote kwa wananchi masikini wa Kenya?

Kumbe Kenyata ana wafuasi wapumbavu namna hii?
 
Kwa propaganda hamjambo, ukweli ni mchungu, vumilia fukara, Kenya ni nchi ya kibepari, mwenye nguvu mpishe, baki kule kwa ujamaa ukiendelea kukula mihogo na maharage, tuwache tupambane na vya kwetu., wewe inakuwashia nini?
Angalau Tanzania wana hiyo mihogo na maharage nyie hamna hata kitu kazi ni sifa za kijinga na kupika takwimu.

Karne ya 21 bado mnapokea misaada ya chakula.
Nyie mna nguvu gani kama tu kula yenu ni ya tabu.

Stupidi manki.

Kwani hizi propaganda huwa haziwezekani kwenye forums za nchi yenu!
 
Kwa propaganda hamjambo, ukweli ni mchungu, vumilia fukara, Kenya ni nchi ya kibepari, mwenye nguvu mpishe, baki kule kwa ujamaa ukiendelea kukula mihogo na maharage, tuwache tupambane na vya kwetu., wewe inakuwashia nini?
Nchi ya kibepari alafu watu wanakufa njaa?

Mpaka shirika la chakula duniani limeona hali mbaya inayowanyemelea alafu bado unaleta sifa za kijinga?
 
Angalau Tanzania wana hiyo mihogo na maharage nyie hamna hata kitu kazi ni sifa za kijinga na kupika takwimu.

Karne ya 21 bado mnapokea misaada ya chakula.
Nyie mna nguvu gani kama tu kula yenu ni ya tabu.

Stupidi manki.
Kupika takwimu eti? What is your revenue(pato) kutoka kwa hiyo gdp yenu ya $65b?.., uchumi wa kwenye makaratasi ni wa Tanzania., city moja tu yaani dar yenye ni slum 90%, pato la Mombasa port ni kubwa mara mbili ya pato zote za ports zenu., uchumi hafifu, annual revenue yenu ni kidogo sana ukilinganisha na size ya nchi na population, ina maanisha watu wengi ni wazembe tu, hawana faida yeyote kwa uchumi wa Tanzania, wewe ukiwa mmoja wao, kiukweli nyie nature is taking care of you, nyie hamujiwezi kabisaa, ni nchi kubwa yenye rotuba na mvua mingi, ndio maana mifukara kule vijijini hela hawana kabisaa lakini wanachemsha mihogo na maharage na kukula kavu kavu, janga likitokea mtahama nchi, siwaombei iwakute, na sitamani, ila mko hovyo sana, haitakiwi mtajwe miongoni mwa taifa zenye watu wengi fukara wa kutupwa., ni laana ya kiaina, ama ni wa ukoo tokea mababu, nyie hamkombolewi na any economic strategy, mnahitaji kufanyiwa tambiko., hii yenyu naona ni giza.,
 
Nchi ya kibepari alafu watu wanakufa njaa?

Mpaka shirika la chakula duniani limeona hali mbaya inayowanyemelea alafu bado unaleta sifa za kijinga?
Yes nchi ya kibepari, kila mtu ajitetee., mwenye nguvu mpishe, nyie na ujamaa bado mnatajwa miongoni mwa nchi yenye watu wengi fukara wa kutupwa unatuambia nini, mtanzania hawezi kushauri mkenya kamwe, you have a plunk in your eye kisha unataka kutoa a stick in kenya's eye.., pambaneni na hali ya kwenu kwanza..,
 
Kupika takwimu eti? What is your revenue(pato) kutoka kwa hiyo gdp yenu ya $65b?.., uchumi wa kwenye makaratasi ni wa Tanzania., city moja tu yaani dar yenye ni slum 90%, pato la Mombasa port ni kubwa mara mbili ya pato zote za ports zenu., uchumi hafifu, annual revenue yenu ni kidogo sana ukilinganisha na size ya nchi na population, ina maanisha watu wengi ni wazembe tu, hawana faida yeyote kwa uchumi wa Tanzania, wewe ukiwa mmoja wao, kiukweli nyie nature is taking care of you, nyie hamujiwezi kabisaa, ni nchi kubwa yenye rotuba na mvua mingi, ndio maana mifukara kule vijijini hela hawana kabisaa lakini wanachemsha mihogo na maharage na kukula kavu kavu, janga likitokea mtahama nchi, siwaombei iwakute, na sitamani, ila mko hovyo sana, haitakiwi mtajwe miongoni mwa taifa zenye watu wengi fukara wa kutupwa., ni laana ya kiaina, ama ni wa ukoo tokea mababu, nyie hamkombolewi na any economic strategy, mnahitaji kufanyiwa tambiko., hii yenyu naona ni giza.,
Hii energy yote unayotumia kuhara humu jamiiforums ingefaa ungeenda kutumia kusaidia ndugu zako wanaosubiri, chakula cha misaada.

Aibu karne hii ya 21 kupewa misaada ya chakula.

Hivi Kuna ufukara unaozidi huu wa kutegemea chakula cha misaada!
 
Hii energy yote unayotumia kuhara humu jamiiforums ingefaa ungeenda kutumia kusaidia ndugu zako wanaosubiri, chakula cha misaada.

Aibu karne hii ya 21 kupewa misaada ya chakula.

Hivi Kuna ufukara unaozidi huu wa kutegemea chakula cha misaada!
Kalilie kwa choo, nyie fukara ila mko na ardhi, laana ya kupindukia, mtanzania hawezi ku lecture mkenya, afadhali mganda azungumze, sio nyie mifukara kutokana na ujinga wenu.,
 
Yes nchi ya kibepari, kila mtu ajitetee., mwenye nguvu mpishe, nyie na ujamaa bado mnatajwa miongoni mwa nchi yenye watu wengi fukara wa kutupwa unatuambia nini, mtanzania hawezi kushauri mkenya kamwe, you have a plunk in your eye kisha unataka kutoa a stick in kenya's eye.., pambaneni na hali ya kwenu kwanza..,
Acha ujijinga wewe!

Hivi katika nchi tajiri Kenya imo kiasi cha kuidharau tz?

Hivi nyie wafuasi wa Kenyata mtaacha lini kuwa wapumbavu?
 
Kalilie kwa choo, nyie fukara ila mko na ardhi, laana ya kupindukia, mtanzania hawezi ku lecture mkenya, afadhali mganda azungumze, sio nyie mifukara kutokana na ujinga wenu.,
Nyie watu hovyo kabisa!

Somalia pamoja na kuwa na ukame na kukumbwa na vita lakini huwezi kusikia ujinga wa mabalaa ya njaa kama hapo kwenu kwenye uchumi mkubwa.
 
Kalilie kwa choo, nyie fukara ila mko na ardhi, laana ya kupindukia, mtanzania hawezi ku lecture mkenya, afadhali mganda azungumze, sio nyie mifukara kutokana na ujinga wenu.,
Kuanzia wanaume wa Kenya muanze kuolewa na wazungu akili zenu ziko fyatufyatu sana, yaani watu wanakufa njaa wewe unaleta story za nchi tajiri.
 
Nyie watu hovyo kabisa!

Somalia pamoja na kuwa na ukame na kukumbwa na vita lakini huwezi kusikia ujinga wa mabalaa ya njaa kama hapo kwenu kwenye uchumi mkubwa.
Unaishi dunia gani wewe?.., just because you dont hear in the media kuhusu somalia unadhani wako nafuu, wao wanaumia it is no longer news 😂 😂 😂 😂 ., wewe ni kilaza kweli, arguing with a Tanzanian ni kazi ngumu sana, jaribu kushirikisha ubongo angalau kidogo tu.., naona ni chuki na wivu tu mnazo dhidi ya Kenya hakuna lingine hapa 😂 😂 😂 😂 ., nenda ukale maharage na mihogo, niondoke sasa..,
 
Unaishi dunia gani wewe?.., just because you dont hear in the media kuhusu somalia unadhani wako nafuu, wao wanaumia it is no longer news ., wewe ni kilaza kweli, arguing with a Tanzanian ni kazi ngumu sana, jaribu kushirikisha ubongo angalau kidogo tu.., naona ni chuki na wivu tu mnazo dhidi ya Kenya hakuna lingine hapa ., nenda ukale maharage na mihogo, niondoke sasa..,
Kwa hiyo na nyie sasa mnataka tuanze kuzipuuza habari za njaa hapo Kenya kama za somalia maana si mpya?

Nikuinee wivu kwa lipi? Huo ukame na vumbi mlilonalo ndio nione wivu?

Kumbe hata yale maauji ya kikabila ya baada ya uchaguzi wa 2007 ni sababu Kenyata alikuwa na wafuasi vilaza kama wewe?
 
Ndio maana nakwambia wewe ni mjinga!
.
Hata ingekuwa $1 ni nyingi hiyo hela ya uma siyo yake!

Hivi dola milioni 30 unadhani zisingefanya chochote kwa wananchi masikini wa Kenya?

Kumbe Kenyata ana wafuasi wapumbavu namna hii?
Hiyo pesa wewe unadhani ametoa kwa uma? mbona wewe boya hivi 😂 😂 😂 😂 😂 uko na dhibitisho utuonyeshe tuwafungulie mashtaka?., weka humu niko tayari kusambaza..,
 
Back
Top Bottom