Wezi wenye 'leseni ya kukuibia' Kariakoo


Ina maana TRA hawawaoni hao? Au ndio wenye hizo biashara?
 
Ndio maana mimi sisumbuki ukinitapeli tu, nampigia babu pande-kilwa au kwa bibi ngende-liwale.
Tena sasa hivi wapo WhatsApp, atajuta kuzaliwa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Yaani hakuna mzenji atakaenunua simu nje ya Zanzibar. Kwa sababu huku zinapatikana kwa wingi na hakuna ujanja ujanja kama huko na bei pia ziko chini kidg
 
Vifaa vya electronics na vifaa vya umeme jitahidi ununue katika maduka ya wahindi. Hata kama ni bei kubwa.
Wao huwa hawana longolongo.
Wabongo wenzetu wengi si waaminifu
 
Sasa km ww ni kibabu... kariakoo unatafuta nn wkt wapo watoto na wajukuu wa kuwatuma??hapo nimekuelewa...maana napishanaga na vibabu town,ujaiuliza mjn wanafanya nn?
Sisi ndiyo tumekuleta town alafu unauliza tunatafuta nini?
 
Hawa walinitapeli mwaka jana Samora Avenue mkabala na maktaba ya British Council. Waliniuzia simu mbovu aina ya Vituz kwa 250,000 na t-shirt ya bure. Wanatembea na Noah.
Kweli kuna Shida kubwa sana unanunua cmu mpya mkononi mwa mtu kisha upewe katshirt? Sapna hupajui???
 
kupunguza utapeli, sheria ya umiliki wa silaa ibadilishwe kila mtu awe na chamoto.Hata mnapoanza kuzungumza na tapeli awe anajua fika uamuzi wa juu unaoweza fika pindi atakapoonesha ukaidi.Joking
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…