Waganga wapo, nilimkomesha mtu m1 na haamini hadi kesho, anasemaga moe nina roho mbaya sana.
Wala sio uongo, nikikasirika ile sana na moyo ukaniambia coca hapa umeumia, sina unafiki, KISASI ndio jadi yangu.
Muwe mnaongea na watu vizuri, wawape ya kilingeni.