Wezi wa vifaa vya magari wamevamia Kitunda

Wezi wa vifaa vya magari wamevamia Kitunda

Mocrana

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
536
Reaction score
122
Jamani hawa wezi ni balaa, khaa yaani kila siku lazima watu wanaibiwa vifaa vya magari huku Kitunda na maeneo ya karibu, cha ajabu polisi wala hawashituki, ndo kwanza wanakwambia tunahisi kijana fulani hivi anakaa Masaki lakini huwa anakuja kulala Kitunda, hapa mtaani kwa siku moja wameiba vifaa vya VEROSA, ALTEZA, PORTE NA IST.
 
wakurya wanauza viwanja wanazidi kusogea mbele wako msongola siku hizi, wengine wandai wezi ndo hao hao basi shida tupu
Kwani Wakurya wamehama siku hizi huko Kitunda?
 
Usiku wa tar. 19th October, walinifanyia kitu mbaya hao wezi! waliipukutisha Toyota Raum yangu, hata hamu sina! Police waliniuliza "kijana unatakaje?" Sikujibu!

Nilikuja hapa nikaweka uzi wangu wa masikitiko yangu, watu wakanipa pole, nikaahidi sintasamehe mtu, kuwa nitadeal nao kivyetuvyetu! Na tayari "mtaalamu kanipa proposal yake ya kwanza, KUWATANGULIZA MMOJA MMOJA!"
Hii imentisha, nimempa proposal yangu, cha kuwafanya wabaya wangu, ameikubali! Leo hapa ofisini nimeshajaza EMERGENCY LEAVE ya 2 days, kesho ntashinda sokoni TANDALE kukusanya mahitaji ya "mtaalamu wangu!" Baada ya hapo napanda basi UBUNGO, safari!!

Nitaleta mrejesho baada ya kurudi kutoka kwa "mtaalamu"
 
sasa mpaka wakurya mnaibiwa huko, sijui itakuaje kwa sisi wapemba huku

nyie mko salama. wakurya wakiwakamata wezi wanawapiga, ila adhabu zenu nyie wapemba mmhh, sidhani kuna mwizi atathubutu (labda na mwizi mwenyewe awe mpemba). Mimi mwenyewe nikitaka niwe salama sehemu yenye wezi najisingizia upemba.
 
Usiku wa tar. 19th October, walinifanyia kitu mbaya hao wezi! waliipukutisha Toyota Raum yangu, hata hamu sina! Police waliniuliza "kijana unatakaje?" Sikujibu!

Nilikuja hapa nikaweka uzi wangu wa masikitiko yangu, watu wakanipa pole, nikaahidi sintasamehe mtu, kuwa nitadeal nao kivyetuvyetu! Na tayari "mtaalamu kanipa proposal yake ya kwanza, KUWATANGULIZA MMOJA MMOJA!"
Hii imentisha, nimempa proposal yangu, cha kuwafanya wabaya wangu, ameikubali! Leo hapa ofisini nimeshajaza EMERGENCY LEAVE ya 2 days, kesho ntashinda sokoni TANDALE kukusanya mahitaji ya "mtaalamu wangu!" Baada ya hapo napanda basi UBUNGO, safari!!

Nitaleta mrejesho baada ya kurudi kutoka kwa "mtaalamu"
Slim mwambie mtaalam wako pia kwamba awapukutishea hadi wanunuaji.
Maan yapo maduka maalum yanayonunua vifaa vya magari vya hao wezi na yanajulikana kwa majina.
Lakini Polisi wanajifanya hawayatambui,na hata kodi hawalipi,maana havina receipt ya manunuzi.
Kuna mdau humu aliwahi kutaja maduka hayo kwenye uzi mmoja hivi
 
Usiku wa tar. 19th October, walinifanyia kitu mbaya hao wezi! waliipukutisha Toyota Raum yangu, hata hamu sina! Police waliniuliza "kijana unatakaje?" Sikujibu!

Nilikuja hapa nikaweka uzi wangu wa masikitiko yangu, watu wakanipa pole, nikaahidi sintasamehe mtu, kuwa nitadeal nao kivyetuvyetu! Na tayari "mtaalamu kanipa proposal yake ya kwanza, KUWATANGULIZA MMOJA MMOJA!"
Hii imentisha, nimempa proposal yangu, cha kuwafanya wabaya wangu, ameikubali! Leo hapa ofisini nimeshajaza EMERGENCY LEAVE ya 2 days, kesho ntashinda sokoni TANDALE kukusanya mahitaji ya "mtaalamu wangu!" Baada ya hapo napanda basi UBUNGO, safari!!

Nitaleta mrejesho baada ya kurudi kutoka kwa "mtaalamu"

Safi sana ndo dawa yao hao aisee bora kuwatanguliza mbele ya haki mapema watatusumbua sana hapa duniani kila cku wao tu ukisgindwa huko ni pm nikuongezee nguvu zaidi manina zao
 
mwanagati au kinyantira au kibeberu

Huo wizi utakuwa unafanyika maeneo ya Kitunda shule ambako kuna mchanganyiko wa watu. Maeneo uliyoyataja, ukikutana na mtu anakusalimia kilugha, usipojibu kilugha utaulizwa unaenda kwa nani, kinachofuata ni wewe kuandamana na kundi la watu mpaka kwa uliyesema kuwa ndiye mwenyeji wako. Ole wako mwenyeji wako aseme hakufahamu- mapanga na moto ni haki yako. Ndio maana hata kama kuna wizi wa kuku, ng'ombe na madukani maeneo hayo, wanaibiana wenyewe kwa wenyewe, kwa bahati nzuri hawajui soko la vifaa vya magari.
 
Ni kweli aisee huku kulikuwa full amani sijui hawa wezi wametokea wapi!juzi tu hapa matembele wameitenda spacio ya mama mpaka leo ipo juu ya mawe!tatizo kituo cha police kimoja na mji umepanuka
 
Huo wizi utakuwa unafanyika maeneo ya Kitunda shule ambako kuna mchanganyiko wa watu. Maeneo uliyoyataja, ukikutana na mtu anakusalimia kilugha, usipojibu kilugha utaulizwa unaenda kwa nani, kinachofuata ni wewe kuandamana na kundi la watu mpaka kwa uliyesema kuwa ndiye mwenyeji wako. Ole wako mwenyeji wako aseme hakufahamu- mapanga na moto ni haki yako. Ndio maana hata kama kuna wizi wa kuku, ng'ombe na madukani maeneo hayo, wanaibiana wenyewe kwa wenyewe, kwa bahati nzuri hawajui soko la vifaa vya magari.

Huu ndio ulinzi shirikishi asilia....laiti wote tungeupraktiz...
 
Slim mwambie mtaalam wako pia kwamba awapukutishea hadi wanunuaji.
Maan yapo maduka maalum yanayonunua vifaa vya magari vya hao wezi na yanajulikana kwa majina.
Lakini Polisi wanajifanya hawayatambui,na hata kodi hawalipi,maana havina receipt ya manunuzi.
Kuna mdau humu aliwahi kutaja maduka hayo kwenye uzi mmoja hivi
Zanzibar Spices kwenye ile proposal yake, "mtaalamu" alisema anapukutisha wote, wezi mpaka madalali! hapo ndio alipontisha!
Sasa baada ya kumpa proposal yangu, nini cha kuwafanya watu hawa, nikifika tutakuwa na majadiliano mafupi, mimi na "mtaalamu" namna ya kuwafanya! Huenda na hawa wenye maduka wakahusishwa, ngoja tuone, mpaka Jumapili ntakuwa nimerudi mjini!
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kabisa maeneo hayo hakuna wizi ni kitunda shule, kivule na matembele ndo balaa yaani kwa siku unaweza sikia gari 3 mpaka nne
Huo wizi utakuwa unafanyika maeneo ya Kitunda shule ambako kuna mchanganyiko wa watu. Maeneo uliyoyataja, ukikutana na mtu anakusalimia kilugha, usipojibu kilugha utaulizwa unaenda kwa nani, kinachofuata ni wewe kuandamana na kundi la watu mpaka kwa uliyesema kuwa ndiye mwenyeji wako. Ole wako mwenyeji wako aseme hakufahamu- mapanga na moto ni haki yako. Ndio maana hata kama kuna wizi wa kuku, ng'ombe na madukani maeneo hayo, wanaibiana wenyewe kwa wenyewe, kwa bahati nzuri hawajui soko la vifaa vya magari.
 
hao jamaa wamekuwa na timu kubwa na wengine wana kuja mpaka mikoani,juzi singida ziacha gari 4 kama skreper na gari ambazo ni hot cake kwao ni verossa,mark x,raum,alteza,progres,ist,opa,gx 110/115,brevis.na wenyewe ni wachawi sn na wanapo iba hauwezi kusikia hata kidogo
 
Zanzibar Spices kwenye ile proposal yake, "mtaalamu" alisema anapukutisha wote, wezi mpaka madalali! hapo ndio alipontisha!
Sasa baada ya kumpa proposal yangu, nini cha kuwafanya watu hawa, nikifika tutakuwa na majadiliano mafupi, mimi na "mtaalamu" namna ya kuwafanya! Huenda na hawa wenye maduka wakahusishwa, ngoja tuone, mpaka Jumapili ntakuwa nimerudi mjini!
Fanya mambo Slim.
Mie ninhasira sana na wale wenye maduka pia wanaopelekewa.
Maana mbaya zaidi maduka ya dili yote yanajulikana na polisi hakuna hata mmoja anagusa maduka hayo.
Ndio maana jamaa wanaongezeka kwa kasi,nahayo maduka pia yamekuwa mengi sana.

Piga hadi wenye maduka,ila sie wanunuzi tusiejua atuache,maana kwenye wanunuzi atatulamba wengi
 
tatizo hao wezi hawajamwagwa mavi.ila hao wanamtandao mkubwa sana wako wengi, chimbuko lao walikuwa wanatokea magomeni alikuwepo junky mmja hivi wa kiarabu na wenzake walikuwa wanatumia escudo nyekundu walisumbua sana sleepway, mlimancity na sehemu zingine, wanapenda pia kuja sehemu za harusi na misiba....
 
tatizo hao wezi hawajamwagwa mavi.ila hao wanamtandao mkubwa sana wako wengi, chimbuko lao walikuwa wanatokea magomeni alikuwepo junky mmja hivi wa kiarabu na wenzake walikuwa wanatumia escudo nyekundu walisumbua sana sleepway, mlimancity na sehemu zingine, wanapenda pia kuja sehemu za harusi na misiba....

Hii nilishaambiwa!
 
Back
Top Bottom