Wezi wa vifaa vya magari wamevamia Kitunda

Wezi wa vifaa vya magari wamevamia Kitunda

hao jamaa wamekuwa na timu kubwa na wengine wana kuja mpaka mikoani,juzi singida ziacha gari 4 kama skreper na gari ambazo ni hot cake kwao ni verossa,mark x,raum,alteza,progres,ist,opa,gx 110/115,brevis.na wenyewe ni wachawi sn na wanapo iba hauwezi kusikia hata kidogo

Kama ulikuwepo! yaani sikuskia hata unyayo!
 
Wezi wengi Wa spare za magari ni watoto Wa hao hao wapemba hivyo kazana na huyo Sangoma wako
 
hao jamaa wamekuwa na timu kubwa na wengine wana kuja mpaka mikoani,juzi singida ziacha gari 4 kama skreper na gari ambazo ni hot cake kwao ni verossa,mark x,raum,alteza,progres,ist,opa,gx 110/115,brevis.na wenyewe ni wachawi sn na wanapo iba hauwezi kusikia hata kidogo

Utasikiaje na wewe umeamua kulala? Kuna vifaa maalumu vya ulinzi wa gari pamoja na mazingira unayotaka kuyalinda. Baada ya vifaa hivyo vya ulinzi kumtambua mwizi vina uwezo wa kuwasha taa,kuwasha king'ora kikubwa au kidogo na hata kuwasha camera na kurekodi sura za wezi hao,uamuzi ni wako.
 
Fanya mambo Slim.
Mie ninhasira sana na wale wenye maduka pia wanaopelekewa.
Maana mbaya zaidi maduka ya dili yote yanajulikana na polisi hakuna hata mmoja anagusa maduka hayo.
Ndio maana jamaa wanaongezeka kwa kasi,nahayo maduka pia yamekuwa mengi sana.

Piga hadi wenye maduka,ila sie wanunuzi tusiejua atuache,maana kwenye wanunuzi atatulamba wengi

umenichekesha sana mkuu eti sie wanunuzi utuache dah kweli lakini manake hata ww usiponunua lazima atanunua mwingine tu
 
Usiku wa tar. 19th October, walinifanyia kitu mbaya hao wezi! waliipukutisha Toyota Raum yangu, hata hamu sina! Police waliniuliza "kijana unatakaje?" Sikujibu!

Nilikuja hapa nikaweka uzi wangu wa masikitiko yangu, watu wakanipa pole, nikaahidi sintasamehe mtu, kuwa nitadeal nao kivyetuvyetu! Na tayari "mtaalamu kanipa proposal yake ya kwanza, KUWATANGULIZA MMOJA MMOJA!"
Hii imentisha, nimempa proposal yangu, cha kuwafanya wabaya wangu, ameikubali! Leo hapa ofisini nimeshajaza EMERGENCY LEAVE ya 2 days, kesho ntashinda sokoni TANDALE kukusanya mahitaji ya "mtaalamu wangu!" Baada ya hapo napanda basi UBUNGO, safari!!

Nitaleta mrejesho baada ya kurudi kutoka kwa "mtaalamu"

Mtaalamu yupo wapi ??Sumbawanga kwa Pinda ??Bagamoyo kwa Prof JK au kule kwa Maalimu Seif Sharif ???tunaomba marejesho..
 
Hii nilishaambiwa!

basi hao kuna wakati waliingia kingi mtaani kwetu mbona walifurahi sinema tuliyowaonesha....mmoja alikula kipondo cha ajabu mpaka defenda ikaja muokoa badaye tunaenda polisi wakawa washamuachia....wana bahati fulani sema wanajua sana ku time
 
Mheshimiwa slim5, kwenye iyo gari waliyokwapua hivyo vitu haukuwa umeweka security alarm? au ilikuwaje kuwaje mkuu,
 
Slim ukifanikiwa uje uniambie.
Maana huu Ugonjwa pia Upo kwenye kusafirisha gari kutoka Zanzibar Kuja Dar.
Yaani kuna jamaa wanaweza kukuachia Gari Scraper.

Nilisafirisha Carry,Agent aliniambia nitoe vitu vyote vinavyoweza kufunguka kirahisi.
Yaani niliotoa Show ya mbele,Taa,Side mirrors,,wheel capes,spare tire ilipigwa kufukuli.
Baada ya Juhudi zoote hizo lakini jamaa wakaniibia Mfuniko wa Tanki ya mafuta na mfuniko wa Radiator.
Sasa sijui ni kwenye Meli au bandarini
 
Back
Top Bottom