Mshutumiwa amesokomezwa rungu kwenye ziwa au baya zaidi afande anajaribu kumfunika likitambaa usoni, anaweza ku suffocate, wewe unasema wamem treat kwa staha, wapi hapo inapoonyesha "kabebwa tena kwa staha"?
Ame resist kukamatwa, umejuaje, from press release ya Kamanda Kova?
Hajatembezwa uchi, hivi haki za kiraia za mshukiwa lazima kutembezwa uchi peke yake ndio ziwe zimekiukwa?
Law enforcers wa Tanzania wanajulikana kwa abuse and brutality of suspects, ni vigumu kuwatetea unless ni ushindani wa kisiasa na kishabiki.