Wezi wa ndoa muda wenu umeisha

yawezekana ujijui umevaa vazi gano la uzinzi,la chakachuaji,ufirauni,ukahaba, jiangalie kwanza

Mwezi unaishia hivi umeishawasilisha mchango wako wa chama wa mwezi huu ni PM unipe mchango wako nimpatie katibu ASPRIN ili aendelee kufanya logistics zingine
 
Mwezi unaishia hivi umeishawasilisha mchango wako wa chama wa mwezi huu ni PM unipe mchango wako nimpatie katibu ASPRIN ili aendelee kufanya logistics zingine

Huyo mbona nshaupata mchango wake?.....ananidai risiti, hebu njoo umchukulie!
 
pdidy mkali

yani waweza kuta kapiga sala na kuelekea kwenye infii right away

haya mambo haya
 
pdidy mkali

yani waweza kuta kapiga sala na kuelekea kwenye infii right away

haya mambo haya

Ulikuwa unafanya nini kule?

Ungekuwa hapa mapema huu unafiki usingeshika kasi namna hii.... kule waachie kina malaria sugu vs mwanakijiji. ISC bila founder members HAIWEZEKANI!!!:welcome::welcome::welcome:
 
OOH Aleluyah I feel the presence of God in JF. Jina la bwana litukuzwe
 
Maombi ya mkesha mazuri sana Pdidy karibu kwenye chama chetu cha NO to INFIDELITY unakaribishwa kwa moyo mkunjufu.

Smiles welcome party ni wapi tena? nikumbushe.
 
Ninakwenda kinyume na maagano yote ya Infidelity .
Roho chafu zinazowa- convice wapwa na mabinamu kujihusisha na infidelity zishindwe na zilegee
Amen
 
Back
Top Bottom