yawezekana ujijui umevaa vazi gano la uzinzi,la chakachuaji,ufirauni,ukahaba, jiangalie kwanza
Mwezi unaishia hivi umeishawasilisha mchango wako wa chama wa mwezi huu ni PM unipe mchango wako nimpatie katibu ASPRIN ili aendelee kufanya logistics zingine
Huyo mbona nshaupata mchango wake?.....ananidai risiti, hebu njoo umchukulie!
pdidy mkali
yani waweza kuta kapiga sala na kuelekea kwenye infii right away
haya mambo haya
Hapa mnaongelea nn vile?Msimamo uko pale pale KURA zote kwa Dr. Slaa!
Kuchakachua kura za wake za watu waliompigia Dr. SlaaHapa mnaongelea nn vile?
Hapa mnaongelea nn vile?
Be back soon! Ngoja nikazimue kwanzaKuchakachua kura za wake za watu waliompigia Dr. Slaa
Hapa mnaongelea nn vile?
zero pub.maombi ya mkesha mazuri sana pdidy karibu kwenye chama chetu cha no to infidelity unakaribishwa kwa moyo mkunjufu
yes to it
.smiles welcome party ni wapi tena? Nikumbushe
Vipi yule mende aliyekuchakachua ameshajifungua?OOH Aleluyah I feel the presence of God in JF. Jina la bwana litukuzwe