Rio Shabazz
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,334
- 2,169
Habari,
Nataka kujua ni mbinu gani zinatumika na wezi kufanya mshindwe kushtuka wakati wanaiba au kuvunja nyumba hadi mshtuke wameshaiba!
Hii ni kwa ajili kujilinda na usalama zaidi.
Nataka kujua ni mbinu gani zinatumika na wezi kufanya mshindwe kushtuka wakati wanaiba au kuvunja nyumba hadi mshtuke wameshaiba!
Hii ni kwa ajili kujilinda na usalama zaidi.