habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
- Thread starter
- #21
Mbona iko wazi kqbisa mkuu?Hata mada yako mkuu hijawa wazi ni kipi hasa unataka kukifikisha watu wakuelewe,ila ukitizama swali lako kuhusu mwanaume kuzaa...ni kweli unataka watu tutoe mawazo yetu kama mwanaume anaweza kuzaa ama haiwezekani katika zama hizi?
Dhana ya kwamba Hawa alitokana na ubavu wa kushoto wa Adamu ni imekaaje?
Hii inamaana kwamba Hawa alikaa miezi tisa tumboni kwa Adam kwa mujibu wa misaafu
Km ni kweli Hawa alipitia mlango gani? Kwa sababu nijuavyo binadam wote, mlango wetu wa kuingilia na kutokea ni mmoja, sasa ilikuwaje Hawa akatoka ubavuni mwa Adamu?