Wewe unatabia ya mnyama gani kati ya hawa?

Kasie ni POPO copy cut hasa matendo na tabia.

Kazi kwako wewe.
 
Wafuatao ni baadhi tu ya Wanyama na tabia zao, ambazo Mimi, wewe tunazo na wakti mwingine ni vikwazo kwa watu wanaotuzunguka.

1. PUNDA: anaposema "Siendi" haendi hata umpige na gogo la mbuyu. kuna watu ambao waking'ang'ania wazo moja hata aambiwe ukweli aje, habadilishi wazo lake.
PUNDA

2: SIMBA: Huyu ni mgomvi" watu wenye tabia za simba wapo tayari kupigana kwa vyovyote vile na yeyote yule anayeingilia mipango ama matakwa yao.
SIMBA
3: SUNGURA: yeye ni kutimua Mbio tu. Watu wenye tabia ya Sungura siku zote hawatatui tatizo, wakiona ugomvi ama vuguvugu la ugomvi linataka kutokea haraka sana wanabadilisha maada. Hawa ni waoga
SUNGURA




4: NYANI: Anapumbaza na Mcheshi, Mara nyingi watu wenye tabia za nyani huwa wanapenda kuwa wachekeshaji sana na wanapumbaza wenzao pale wanapokua wanafanya mambo muhimu.


NYANI
5: NYOKA: Huyu huwa anapenda kujificha kwenye nyasi na huruka ghafla na kung'ata. Wapo watu wenye tabia kama za nyoka, Mara nyingi huwa wanakaa kimya kwa muda mrefu wakati jamii fulani ikiwa inashiriki kufanya jambo, lakini endapo wakisema jambo moja tu huaribu kila kitu kinachoendelea.


NYOKA


6: KOBE: Huyu upenda kujiingiza ndani ya nyumba yake endapo mazingira hayapo shwari, na hujitoa anapohisi hali imekua shwari nje. Wapo watu watabia kama za kobe, hupenda kujitoa kwenye jamii ama kundi endapo kuna matatizo, hawatoi mchango wowote ule, kama wa mawazo, pengine wangependa jamii isifahamu kama wapo ndani ya hiyo jamii ili wasisumbuliwe kabisa.


KOBE
7: TEMBO: Anatabia ya kuangusha miti barabarani, na kuzui njia ili chochote kisipite hadi atakapo amua yeye. Wapo Ndugu zetu wenye hizi tabia, wanakua wasumbumbufu, wababe huzuia kundi kuendelea na shuguli zake kufikia malengo yaliyopangwa.




TEMBO
8: MBUNI: Huona kila kitu kipo sawa wakati wote, hawafikiri kama kuna tatizo kamwe. Wapo watu wenye tabia kama za Mbuni, mara nyingi huinamisha kichwa chake kwenye mchanga, hukataa kabisa kukubali kama kuna matatizo.
MBUNI


By jay4savage@gmail.com.. Mwakasalajaphary@gmail.com
 
Wafuatao ni baadhi tu ya Wanyama na tabia zao, ambazo Mimi, wewe tunazo na wakti mwingine ni vikwazo kwa watu wanaotuzunguka.

1. PUNDA: anaposema "Siendi" haendi hata umpige na gogo la mbuyu. kuna watu ambao waking'ang'ania wazo moja hata aambiwe ukweli aje, habadilishi wazo lake.
PUNDA

2: SIMBA: Huyu ni mgomvi" watu wenye tabia za simba wapo tayari kupigana kwa vyovyote vile na yeyote yule anayeingilia mipango ama matakwa yao.
SIMBA
3: SUNGURA: yeye ni kutimua Mbio tu. Watu wenye tabia ya Sungura siku zote hawatatui tatizo, wakiona ugomvi ama vuguvugu la ugomvi linataka kutokea haraka sana wanabadilisha maada. Hawa ni waoga
SUNGURA




4: NYANI: Anapumbaza na Mcheshi, Mara nyingi watu wenye tabia za nyani huwa wanapenda kuwa wachekeshaji sana na wanapumbaza wenzao pale wanapokua wanafanya mambo muhimu.


NYANI
5: NYOKA: Huyu huwa anapenda kujificha kwenye nyasi na huruka ghafla na kung'ata. Wapo watu wenye tabia kama za nyoka, Mara nyingi huwa wanakaa kimya kwa muda mrefu wakati jamii fulani ikiwa inashiriki kufanya jambo, lakini endapo wakisema jambo moja tu huaribu kila kitu kinachoendelea.


NYOKA


6: KOBE: Huyu upenda kujiingiza ndani ya nyumba yake endapo mazingira hayapo shwari, na hujitoa anapohisi hali imekua shwari nje. Wapo watu watabia kama za kobe, hupenda kujitoa kwenye jamii ama kundi endapo kuna matatizo, hawatoi mchango wowote ule, kama wa mawazo, pengine wangependa jamii isifahamu kama wapo ndani ya hiyo jamii ili wasisumbuliwe kabisa.


KOBE
7: TEMBO: Anatabia ya kuangusha miti barabarani, na kuzui njia ili chochote kisipite hadi atakapo amua yeye. Wapo Ndugu zetu wenye hizi tabia, wanakua wasumbumbufu, wababe huzuia kundi kuendelea na shuguli zake kufikia malengo yaliyopangwa.




TEMBO
8: MBUNI: Huona kila kitu kipo sawa wakati wote, hawafikiri kama kuna tatizo kamwe. Wapo watu wenye tabia kama za Mbuni, mara nyingi huinamisha kichwa chake kwenye mchanga, hukataa kabisa kukubali kama kuna matatizo.
MBUNI


Me nakaa pemben hakun mnyama wa dizain yang
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom