13.kupiga picha huku ukiwekan poz la dole gumba
14. kutumwa dukani ulete ASPRIN halafu ulete ASPIRO.
15. kutembea kilometa nzima kwenda kwenye sinema, na ukifika sinema ndio inaishia.
16. Kuficha chapati na kuingia nayo kanisani ndani ya seminary na harufu yake inasikika ila ukisachiwa haionekani.
17. Kwenda shule peku na ukitaka kwenda msalani unamwazima mwenzio ndala.
18. kuvaa kaptula yenye lastiki mfano wa rubberband moja tu kiunoni na imetoboka mbaya na ndani hujavaa chu***p!
19. Kula maharage yote jikoni na kujaza maji mengi kisa kuonja!
20. Kucharazwa viboko uwanjani wakati wa UMITASHUMTA kisa unasimama nyuma ya goli kuzuia magoli.