Wewe so chochote kwenye hii dunia

Wewe so chochote kwenye hii dunia

Desierto

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
850
Reaction score
2,959
Kuna watu wanajiona wana umhimu sana hapa duniani lakini kumbe wao si lolote wala chochote.

Afadhali kidogo miaka ya kina nyerere historia inawakumbuka

Lakini ukweli ni kwamba wewe si kitu hapa duniani acha kujipa umuhimu huo huna umuhimu wowote hapa duniani

Ukifa leo ni Mambo yako tu ndo yanasimama lakini ya wengine lazima yaendelee.
 
Kuna watu wanajiona wana umhimu sana hapa duniani lakini kumbe wao si lolote wala chochote.

Afadhali kidogo miaka ya kina nyerere historia inawakumbuka

Lakini ukweli ni kwamba wewe si kitu hapa duniani acha kujipa umuhimu huo huna umuhimu wowote hapa duniani

Ukifa leo ni Mambo yako tu ndo yanasimama lakini ya wengine lazima yaendelee.
Yote ni kujilisha upepo
 
Kuna watu wanajiona wana umhimu sana hapa duniani lakini kumbe wao si lolote wala chochote.

Afadhali kidogo miaka ya kina nyerere historia inawakumbuka

Lakini ukweli ni kwamba wewe si kitu hapa duniani acha kujipa umuhimu huo huna umuhimu wowote hapa duniani

Ukifa leo ni Mambo yako tu ndo yanasimama lakini ya wengine lazima yaendelee.
Ujumbe huu thabiti uwafikie samia na genge lake la utekaji, ujambazi, ufisadi n.k
Wanahisi wataishi milele stupid
 
Kuna watu wanajiona wana umhimu sana hapa duniani lakini kumbe wao si lolote wala chochote.

Afadhali kidogo miaka ya kina nyerere historia inawakumbuka

Lakini ukweli ni kwamba wewe si kitu hapa duniani acha kujipa umuhimu huo huna umuhimu wowote hapa duniani

Ukifa leo ni Mambo yako tu ndo yanasimama lakini ya wengine lazima yaendelee.
siku za mwanadamu ni fupi .....zinahesabika
 
Kuna watu wapo gifted
Kuna watu wana purpose kubwa
Kuna watu ambao Mungu ameweka maono ndani yao.

Hawa watu kuishi maisha ambayo wewe unayotamani waishi ni ngumu kwa sababu kile walichokibeba ni kama deni na ni ngumu kuliepuka.

Mwisho wa siku hata hao uliowataja wamefariki na maisha yanaendelea, japo nakuelewa sana sanaa ila usiwawekee watu limits ambazo wewe unazo juu ya maisha yako maana kila mtu ana uhalisia wake na safari yake.
 
Back
Top Bottom