Wewe ni nani?

Mh huu uzi alikuja nao apoloulikaa vizur zaid naona mkuu kama umekop flan ivi
 
ukitaka kujua wewe ni nani nenda kaishi msituni,bila jina,kula matunda na mizizi,pambana na wanyama kiujumla ishi maisha yakinatural hlf jiulize wewe ni nani utapata jibu..
 
ANATOMY OF THE SPIRIT.
Wasome hiki kitabu vizuri wataelewa taratibu.........
 
Hapo kwenye kuishi maisha yetu mradi tusiwadhuru wengine ndiyo point, ila wako wengine ambao kuwadhuru wengine ndiyo hasa uhalisia wao! So ni vema kuongozwa na miongozo iliyopo ili kupata angalau mwanzo wa kujitathmini namna tunavyoweza kuwa katika uhalisia wetu na faida tutakazo ipatia jamii inayotuzunguka kuliko kuwa wabinafsi sana sababu tu, tunataka kuwa katika uhalisia wetu na kusababisha madhara kwa wengine pasipo kufahamu.
 
Kweli kabisa mkuu.
Hata mm kuna muda huwa najaribu kuishi kama nakujiondolea sheria nilizozikuta na najikuta naienjoy sana maisha.
Ukiangalia sana ni moja kati ya mbinu inayokuwezesha kuishi maisha ya furaha.
 
Mnaongea mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia,katika wote wanaokujaga na hizi story hakuna hata mmoja aliyejibu yeye ni nani. Hakuna maisha yenye Uhuru kwa hivyo muelezavyo nyie.
Ni sawa kabisa, kwa sababu kuna changamoto nyingi utakabiliana nazo hasa ukiwa tofauti na mfumo ulioukuta, pia inaweza ikahitajika nguvu kubwa sana kubadili mfumo uendane na uhalisia ulionao
 
Hahaha umenikumbusha jamaa mmoja anaitwa Aguri aliyempatia mausia Ithnieli na Ukali, "Ni nani aliyekama upepo kwa makonzi yake? Mit 30:1- - - asante sana mtumishi. Maana maonyo uliyoyatoa hahaha, nimebarikiwa. Mwenye ufahamu na afahamu.
 
You are not what you think you are but as what you think is what you are.
 
Nita update mkuuuu nikisettle
Bro kwann umehisi kuwa kilaMTU anakitu driving factor .......bila shaka wanaokuzunguka umeona kitu cha utofaut sana na wew....

Unaweza kukaa mwaka mzima bila kuwa na smartphone????? Kama mawasiliano ukawa unatumia simu ndogo tu in case unahtaj taarfa flan may be unaazima .my point is unaweza kuwa mbali na smartphone just for a while?
 
Kuna mtu mmoja anaitwa Pascally Mayalla humu aliwahi kuja na Uzi "Physic powers" Kwa waliomfuatilia Kwa undani nafikiri wanaweza kukubali kuwa huu Uzi hauna tofauti na alichokielezea bwana Pascally, Alizungumzia juu ya ukomo wa mipaka (Limitation of boundaries), Hiki kitu kinatutesa sana na kinatufanya kuwa watumwa sana, hadi tunajikuta tunashindwa kujiamini na kuwa na maamuzi yenye tija ktk maisha yetu, kimsingi haya ni Mambo yanayohitaji ujipe muda, Lakini tunajikuta tukishindwa kujipa huo muda kutokana eidha kwa kukosa miongozo sahihi au kubanwa na ratiba za Kila siku ili mkono uende kinywani mfano mdogo ukijaribu kutafakari hivi mtu aliyegundua teknolojia ya mawasiliano alikuwa na akiri ya namna gani? Lakini unakuta ni utulivu wa hali ya juu ndo uliompa uwezo wa kundua Hiki tunachokiona ni cha ajabu, mbaya zaidi baada ya kukigundua anatuletea sisi ili tukariri tafakuri yake kwa muda mrefu kwa kile tunachodai kuwa ni elimu ya chuo kikuu, kiukweli we lost a lot of time, hatuna namna ni lazima tufuate mawazo ya walioiona Dunia mapema ili maisha yaendelee.
 

Mwaka 2011 au 2012, Mchungaji wetu Kanisani alitumia muda mrefu kiasi kufundisha somo la UFAHAMU. Mbali na kutoa maana ya ufahamu, kikubwa kupita vyote nilichochukua kutoka kwenye somo hilo kinatokana na maneno aliyosema kuwa USIPOKUWA NA UFAHAMU SAHIHI, UTAKUWA UNACHUKULIWA NA UPEPO WA ELIMU YA KILA AINA INAYOKUJA MBELE YAKO. Pia **** Mchungaji mwingine tena kwenye miaka hiyo hiyo alikuja kuendesha semina Kanisani kwetu, akasema kuwa SHETANI HUWA ANA VIMBWANGA VYA KILA AINA, ANAWEZA KUFANYA MAAJABU AMBAYO MWANADAMU ASIYEKUWA NA UFAHAMU SAHIHI ANAWEZA AKADHANI NI MUNGU ANAFANYA KUMBE HAPANA.Akaongeza akasema, HATA UKITAKA UUONE MOTE KATIKA UPOTEVU, UTAUONA, yaani ukitaka Shetani alete moto uuone, ni kazi rahisi tu kwake kama mtoto kunyonya ziwa la mama. Hata hivyo haya maneno nimeyaandika yakiwa si EXACT QUOTES za wachungaji hawa, ila ni exact meaning ya kile walichowahi kusema
 
Nakusoma mzee. Ufaham ndio kikubwa mno ukitaka kumtumikisha tu, kwa namna yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…