Weeee,acha hizo,,,,,mimi napenda kupiga kila siku,,,hasa akiwa mwemba,mbinuko na soft kila nikimuona natakaaaHivi genye zako ni za kuku? Kama girlfriend anarudi once a week, kulikuwa na haja ya kutafuta mwingine tena house girl wao? Umejivunjia heshima wewe mwenyewe na umemvunjia heshima girlfriend wako pia.
Basi atafute mke aoe, hata kama ni genye jamani si haouse girl nyumbani kwa babe wako.Weeee,acha hizo,,,,,mimi napenda kupiga kila siku,,,hasa akiwa mwemba,mbinuko na soft kila nikimuona natakaaa
Hivi Dar kuna nyumba za Kupanga zinazotumia Makufuli bado? Duh mbona hiyo ni hatari sana,alafu uyo Beki 3 si kaja juzi tu Huyo bwana wa kinondoni kampata wapi? Kweli sio wote wanaokuja mjini wanakuja kufanya kazi, wengine wanawafata ma bwana zao kinondoni, basi Mkuu rudi tu nyumbani ukalianzishe na lako..!Habari zenu wana jamvi...
Ndugu yenu nimekuwa kwenye mahusiano na mtoto wa mwenye nyumba apa nnapopanga ila demu mwenyewe anakaa chuo.
Wiki mbili zilizopita baba mwenye nyumba alimwajiri msichana wa kazi yani bonge la demu vimaziwa vimesimama tako lipo kweli ingawa halifikii la wema nikaamua kujaribu bahati demu akakubali siku mbili baada ya kukubali akanambia ila ana bwana wake na yupo kinondoni kwa iyo anampenda bwana wake na mimi nikamwambia nina demu ila sikumwambia kama ni mtoto wa bosi wake tukakubaliana kila mtu kueshimu mahusiano ya mwenzake.
Sasa kimbembe juzi bana demu wangu kurudi ijumaa ni kawaida yake kila mwisho wa wiki kama kawaida usiku akaja room kwangu ile sijakaa sawa mara beki tatu naye ndani nikamtambulisha kuwa yule ndiye mchumba wangu bila kugusia mahusiano yake na mimi akaondoka zake nikafanya yangu mchumba akarudi ndani kwao iyo jana beki tatu kaanzisha varangati si mchezo kawambia wazazi wa demu wangu kila kitu mimi baada ya kupata taarifa nikachomoka zangu taarifa nilizonazo hasubuhii baba mwenye nyumba kufunga chumba changu na makufuli mapya apa sielewi nifanyeje aisee naogopa kujitokeza nikapigishwa ya mkeka sijui nifanyeje aisee ushauri tafadhari
Mkuu kwani una umri gani? Inaelekea kwa girlfriend pia ulikuwa hujafika kivile.Mzuri anamzid ata gf wangu
Aliwai kufanya kazi kinondoni kabla ya kurudi shamba iyo nyumba niliweka mm mfumo ea makufuli kwa sabab ni imara zaid kuliko vitasa maana nilikuwa naingia short kila cku kubadil vitasaHivi Dar kuna nyumba za Kupanga zinazotumia Makufuli bado? Duh mbona hiyo ni hatari sana,alafu uyo Beki 3 si kaja juzi tu Huyo bwana wa kinondoni kampata wapi? Kweli sio wote wanaokuja mjini wanakuja kufanya kazi, wengine wanawafata ma bwana zao kinondoni, basi Mkuu rudi tu nyumbani ukalianzishe na lako..!
Mke anaweza asimsaidie,siku hizi wengine wanakupangia ratiba,kwa mfano,jumatatu sikupi,jumanne naumwa,jumatano nakupa ,alhamis sikupi,ijumaa nakupa,jumamos na jumapili nitakuwa kwa mama.Basi atafute mke aoe, hata kama ni genye jamani si haouse girl nyumbani kwa babe wako.
Muache huyo girlfriend wako beba huyo beki tatu.Mzuri anamzid ata gf wangu
Hapo sasa aliyeolewa ni nani? Kwani ulimuoa aje apashe joto kitanda chako?Mke anaweza asimsaidie,siju hizi wengine wanakupangia ratiba,kwa mfano,jumatatu sikupi,jumanne naumwa,jumatano nakupa ,alhamis sikupi,ijumaa nakupa,jumamos na jumapili nitakuwa kwa mama.
Mwanaume hakimbii matatzo hvyo wew rudHabari zenu wana jamvi...
Ndugu yenu nimekuwa kwenye mahusiano na mtoto wa mwenye nyumba apa nnapopanga ila demu mwenyewe anakaa chuo.
Wiki mbili zilizopita baba mwenye nyumba alimwajiri msichana wa kazi yani bonge la demu vimaziwa vimesimama tako lipo kweli ingawa halifikii la wema nikaamua kujaribu bahati demu akakubali siku mbili baada ya kukubali akanambia ila ana bwana wake na yupo kinondoni kwa iyo anampenda bwana wake na mimi nikamwambia nina demu ila sikumwambia kama ni mtoto wa bosi wake tukakubaliana kila mtu kueshimu mahusiano ya mwenzake.
Sasa kimbembe juzi bana demu wangu kurudi ijumaa ni kawaida yake kila mwisho wa wiki kama kawaida usiku akaja room kwangu ile sijakaa sawa mara beki tatu naye ndani nikamtambulisha kuwa yule ndiye mchumba wangu bila kugusia mahusiano yake na mimi akaondoka zake nikafanya yangu mchumba akarudi ndani kwao iyo jana beki tatu kaanzisha varangati si mchezo kawambia wazazi wa demu wangu kila kitu mimi baada ya kupata taarifa nikachomoka zangu taarifa nilizonazo hasubuhii baba mwenye nyumba kufunga chumba changu na makufuli mapya apa sielewi nifanyeje aisee naogopa kujitokeza nikapigishwa ya mkeka sijui nifanyeje aisee ushauri tafadhari
Nimesema hivyo kwasababu inaonekana moyo wako umeridhika kwa beki tatu kuliko huyo gf wako,hivyo utakuwa unaumia tuu na lazima utaendelea kumuhangaikia hyo bek tatu,sasa bora utumie kanuni ya kula chira,maana imesemwa,ukitaka kula chura chagua aliyenona.Inaonekana li moyo wako limemdondokea house girl,follow your heart and take your brain with you.Mmmh hapana kwa kweli huu ushaur sio aisee
Siku hiz wanaolewa tu kwa sababu mbalimbali,kuna anayetaka aonekane kweny mimbali,mwingine ajenge heshma mtaani,mwingine aondoe mkosi,mwingine awafurahishe wazazi,mwingine apate mtumwa wakumpelekesha,mwingine apate dudu la uhakika,mwingine afata upepo,mwingine kujenga familia na mwingine apate wa kumchuna pesa.Unakuta mwingine kaolewa halafu yuko radhi mumewe apige masterbation na yy yupo na haoni tatizo.Atakwambia amechoka au anazuga ypo bizy jikoni,bafun au bustanini,au na mashost ilimrad askupe tuuu.Hapo sasa aliyeolewa ni nani? Kwani ulimuoa aje apashe joto kitanda chako?