Wewe mwanamke Mungu anakuona

Wewe mwanamke Mungu anakuona

baada ya kupata taarifa nikachomoka zangu taarifa nilizonazo hasubuhii baba mwenye nyumba kufunga chumba changu na makufuli mapya apa sielewi nifanyeje aisee naogopa kujitokeza nikapigishwa ya mkeka sijui nifanyeje aisee ushauri tafadhari
Ha,ha,haaaa......
Watt wa kiume mna balaaa, alichokifanya bb mwenye nyumba kimenifurahisha.
N way, ni hv huyo mdingi kwani anaushahidi kuwa unatoka na mwanae? We mkatae sema hutoki nae wala nn, mgeuzie kibao huyo hg sema anakutaka ukamkataa ndo mana analeta visa.

Ila uwe unatumia akili na ww,kwan huwez kwenda gh na huyo dem? Km umeanza kushikwa muda huu ukioa utaweza kuchepuka ww? Acha......
 
Aliwai kufanya kazi kinondoni kabla ya kurudi shamba iyo nyumba niliweka mm mfumo ea makufuli kwa sabab ni imara zaid kuliko vitasa maana nilikuwa naingia short kila cku kubadil vitasa
Basi sawaa,Si Mwajiriwa mpya tena Huyo yakheee
 
Ha,ha,haaaa......
Watt wa kiume mna balaaa, alichokifanya bb mwenye nyumba kimenifurahisha.
N way, ni hv huyo mdingi kwani anaushahidi kuwa unatoka na mwanae? We mkatae sema hutoki nae wala nn, mgeuzie kibao huyo hg sema anakutaka ukamkataa ndo mana analeta visa.

Ila uwe unatumia akili na ww,kwan huwez kwenda gh na huyo dem? Km umeanza kushikwa muda huu ukioa utaweza kuchepuka ww? Acha......
Asante mkuu huu ushauri kidogo umeresha matumaini
 
Habari zenu wana jamvi...

Ndugu yenu nimekuwa kwenye mahusiano na mtoto wa mwenye nyumba apa nnapopanga ila demu mwenyewe anakaa chuo.

Wiki mbili zilizopita baba mwenye nyumba alimwajiri msichana wa kazi yani bonge la demu vimaziwa vimesimama tako lipo kweli ingawa halifikii la wema nikaamua kujaribu bahati demu akakubali siku mbili baada ya kukubali akanambia ila ana bwana wake na yupo kinondoni kwa iyo anampenda bwana wake na mimi nikamwambia nina demu ila sikumwambia kama ni mtoto wa bosi wake tukakubaliana kila mtu kueshimu mahusiano ya mwenzake.

Sasa kimbembe juzi bana demu wangu kurudi ijumaa ni kawaida yake kila mwisho wa wiki kama kawaida usiku akaja room kwangu ile sijakaa sawa mara beki tatu naye ndani nikamtambulisha kuwa yule ndiye mchumba wangu bila kugusia mahusiano yake na mimi akaondoka zake nikafanya yangu mchumba akarudi ndani kwao iyo jana beki tatu kaanzisha varangati si mchezo kawambia wazazi wa demu wangu kila kitu mimi baada ya kupata taarifa nikachomoka zangu taarifa nilizonazo hasubuhii baba mwenye nyumba kufunga chumba changu na makufuli mapya apa sielewi nifanyeje aisee naogopa kujitokeza nikapigishwa ya mkeka sijui nifanyeje aisee ushauri tafadhari
 
Jitokeze mzeee huo ndo uanaume,hujabaka wala nn sasa unachoogopa ni nini kwanza mshyaki mwenye nyumba kwann amefunga nyumba yako
 
Hivi genye zako ni za kuku? Kama girlfriend anarudi once a week, kulikuwa na haja ya kutafuta mwingine tena house girl wao? Umejivunjia heshima wewe mwenyewe na umemvunjia heshima girlfriend wako pia.
Asa kumbe kamvunjia heshima huyo kekuu wake babake inamuwasha nn aondoe kufuli zake mjomba aendelee kuwapasua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom