cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi
1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30
2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga
3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga
Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake
Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4
1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30
2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga
3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga
Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake
Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4