Wewe huna ila wenzako wanazo

Wewe huna ila wenzako wanazo

Hili hata ukilitelekeza sehemu wezi wa magari hawalitaki saaaana wataiba speaker za redio.....

Na hasira watakwangua rangi tu
 
Haaa haaa haaa leo kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yangu nimeliona gali maarufu duniani na lenye thamani kubwa BUGATI VEYRON kwa macho yangu sio video au picha nimeliona kwa macho yangu ndani ya Dar es salaam...iseeee watu wana hela bana
18f62fe9b66fd22ff15755853b6f44b7.jpg
Maisha hayapo sawa kabisa........acha niende kwa fundi nikazibe pancha baiskeli yangu.
 
Hili hata ukilitelekeza sehemu wezi wa magari hawalitaki saaaana wataiba speaker za redio.....

Na hasira watakwangua rangi tu
Nimecheka mpaka machozi yametoka. In fact kuna ukweli, teja atamuuzia nani mfano hizo side mirrors? Gari yenyewe moja tu nchi nzima
 
Mkuu nahisi davi mosha analo kama sikosei
Davis boss wke na lembebez....kweli au unatania bugati zinatengenezwa kwa oda kma sikosei......sasa anunue gari ya 1.2m$ karibia 2.5bn ya kwetu halafu mpambe wke anatembelea noah c itakua maajabu
 
Davis boss wke na lembebez....kweli au unatania bugati zinatengenezwa kwa oda kma sikosei......sasa anunue gari ya 1.2m$ karibia 2.5bn ya kwetu halafu mpambe wke anatembelea noah c itakua maajabu
Iam serious no kiddin..siku chache zilizopita lembebez posted some expensive toys nyumbani kwa davis
 
Back
Top Bottom