GE2025 Wetu siyo Jacobs Mwambegele bali Samuel Kivuitu

GE2025 Wetu siyo Jacobs Mwambegele bali Samuel Kivuitu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,995
Reaction score
13,512
1762202002148.png
1762202029878.png


Siku Mwai Kibaki alipobaka uchaguzi na kumuamuru jaji Samuel Kivuitu kumtangaza, dunia ilishangaa. Ilishangaa zaidi baaye Kivuitu alipoulizwa na mwandishi wa habari kuwa nani alishinda. Alijibu 'sijui' sawa na ambavyo Kivuitu wetu toka Mbeya atajibu siku moja.

Hii dunia hasa Afrika, we acha tu. Watu wazima wanajitoa ufahamu na kufanya utoto na mchezo kwa mambo serious.
 
Back
Top Bottom