Wakuu kwa muda wa miezi minne sasa nimeacha kwa makusudi kabisa kusex sababu ikiwa kumkosa patner wa ukweli(mwaminifu).sasa mekuwa na tatizo la kuota kisha namaliza karibu kila cku je itaniletea madhara?
Wakuu kwa muda wa miezi minne sasa nimeacha kwa makusudi kabisa kusex sababu ikiwa kumkosa patner wa ukweli(mwaminifu).sasa mekuwa na tatizo la kuota kisha namaliza karibu kila cku je itaniletea madhara?
Na mbona mara zote nnapochapa mzigo wote unaishia kwenye shuka ukiwa na ujazo uleule utakiwao kwa @goli? Hao majini hawana vikombe vya kubebea vimiminika?
Kwani wenye vikombe wa siku hizi huwa wanakubali kubeba hivyo vimiminika?
Utasikia, "angalia usimalizie ndani jamani, naogopa mimba" :rain: