Westlife Is Back - Better man

Westlife Is Back - Better man

Ngoja nikausikilize ufundi wa ed sheeran kwenye upapasaji wa nyuzi za acoustic guitar
Kama una ngoma ya Ed Sheeran ya perfect naiomba mkuu....maana kwenye mitandao nimejaribu kuidownload yanakuka pop ads za mablogger
 
Asante jamani nautafuta sasa hivi.

Hawa vijana niliwamiss sana.

Kuna kipindi Fulani wimbo wao mmoja ulinibembeleza nikajiona Mpyaa maana niliusikiliza mwezi mzima non stop.

Siku moja Niko kwenye public transport basi si wakaupiga kwenye radio dah niliuimba wote mwanzo mwisho kustuka watu wote kimyaaa ,sijui nn kilitokea mpaka naumaliza nilikuwa nalia kama jinga vile.

West life watabaki kileleni.
Ni wimbo gani huo bibie nami ni uskize japo kidogo?

Smart guy
 
Kama una ngoma ya Ed Sheeran ya perfect naiomba mkuu....maana kwenye mitandao nimejaribu kuidownload yanakuka pop ads za mablogger
 

Attachments

Asante jamani nautafuta sasa hivi.

Hawa vijana niliwamiss sana.

Kuna kipindi Fulani wimbo wao mmoja ulinibembeleza nikajiona Mpyaa maana niliusikiliza mwezi mzima non stop.

Siku moja Niko kwenye public transport basi si wakaupiga kwenye radio dah niliuimba wote mwanzo mwisho kustuka watu wote kimyaaa ,sijui nn kilitokea😁 mpaka naumaliza nilikuwa nalia kama jinga vile.

West life watabaki kileleni.😂


😂😂😂😂😂😂 wana lyrics nzuri sana aisee..mie ile Album yao yt bado ipogo kichwan
 
hamnaga jema nyie watu hiki kilichowekwa sasa kilililiwa kwa muda mrefu na members wa humu wewe ulikuwa wapi kipindi watu wanaweka maoni ?kama hutaki piga kimya huwezi kumridhisha kila mtu hapa duniani maana hiko utachokitaka wewe watatokea wengine pia kusema kuwa hawakitaki so maisha yaendelee
Yale yalikua maoni yangu; na haya ni maoni yako - Hayanisumbui, hivyo na wewe usisumbuke na maoni yangu. Mbona ni kawaida sana binadamu kua na mitazamo, na matakwa tofauti mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom