Westlife Is Back - Better man

Westlife Is Back - Better man

Jamani kwa wale wapenzi wa pop music na Rock wa zamani kidogo mtakua mnaikumbuka ile bendi ya vijana kutoka northern Ireland. Wametoa ngoma mpya kwa kushirikiana na ed sheeran jnaitwa Better man.

Check it Out!
kuna mwanakikundi mmoja wa westlife si rizki. ila sio shida sana siku hizi maana ni kama kizazi hiki kimeshakubali ushoga.
 
Nimelike post yako mkuu; Mods wametuondolea like na wametuwekea "Thanks" , nilikua natoa tu dukuduku langu kua hio "thank" mie siitaki 😉
hamnaga jema nyie watu hiki kilichowekwa sasa kilililiwa kwa muda mrefu na members wa humu wewe ulikuwa wapi kipindi watu wanaweka maoni ?kama hutaki piga kimya huwezi kumridhisha kila mtu hapa duniani maana hiko utachokitaka wewe watatokea wengine pia kusema kuwa hawakitaki so maisha yaendelee
 
kuna mwanakikundi mmoja wa westlife si rizki. ila sio shida sana siku hizi maana ni kama kizazi hiki kimeshakubali ushoga.
Kizazi hakijakubali bado tunapambana mkuu
 
Asante jamani nautafuta sasa hivi.

Hawa vijana niliwamiss sana.

Kuna kipindi Fulani wimbo wao mmoja ulinibembeleza nikajiona Mpyaa maana niliusikiliza mwezi mzima non stop.

Siku moja Niko kwenye public transport basi si wakaupiga kwenye radio dah niliuimba wote mwanzo mwisho kustuka watu wote kimyaaa ,sijui nn kilitokea😁 mpaka naumaliza nilikuwa nalia kama jinga vile.

West life watabaki kileleni.😂
 
Asante jamani nautafuta sasa hivi.

Hawa vijana niliwamiss sana.

Kuna kipindi Fulani wimbo wao mmoja ulinibembeleza nikajiona Mpyaa maana niliusikiliza mwezi mzima non stop.

Siku moja Niko kwenye public transport basi si wakaupiga kwenye radio dah niliuimba wote mwanzo mwisho kustuka watu wote kimyaaa ,sijui nn kilitokea mpaka naumaliza nilikuwa nalia kama jinga vile.

West life watabaki kileleni.
Inaonekana una hisia sana wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom