Wako vizuri sanaJamani kwa wale wapenzi wa pop music na Rock wa zamani kidogo mtakua mnaikumbuka ile bendi ya vijana kutoka northern Ireland. Wametoa ngoma mpya kwa kushirikiana na ed sheeran jnaitwa Better man.
Check it Out!
Asante kwa tag mrembo wa nguvu. Unakumbuka nilikwambia mwaka jana kuwa wamerudi ee?
Asante kwa tag mrembo wa nguvu. Unakumbuka nilikwambia mwaka jana kuwa wamerudi ee?
Nawafatilia youtube, wanaachia nyimbo kali daily. Kwa fujo. Walianza kurudia baadhi ya nyimbo zao. Sasa hivi wanatoa mpya.
Hahaa nilikuwa nakukumbuka kimoyo moyo tu. Nigeria nimeshazikimbia...nasikiliza mara chache sana. Westlife is back, our childhood beauty is back.Yaan mm sijui wapi miaka hii nafeli...dah ht kunishtua best..nimemezwa sana na nigeria songs aisee..ngoja nizikache....!😍
Jamani kwa wale wapenzi wa pop music na Rock wa zamani kidogo mtakua mnaikumbuka ile bendi ya vijana kutoka northern Ireland. Wametoa ngoma mpya kwa kushirikiana na ed sheeran jnaitwa Better man.
Check it Out!
Hahaa nilikuwa nakukumbuka kimoyo moyo tu. Nigeria nimeshazikimbia...nasikiliza mara chache sana. Westlife is back, our childhood beauty is back.
Bas ngoja tuandae makoo kufanya play back..siku niende karaoke niwaigilizie😊😊😊...kibwagizo nakuwa nakutaja ww😀😀
😂😂si mmoja yupo deceased,mzee wake hakupenda ujinga.Hao jamaa si huwaga ni mashoga?
Nakumbuka iyo fool again tulikuwa tunaisikia na kuiimba kama "folage" hahaaEnzi hizo nikisikiaga vibao vyao wakati vinatoka Fool Again na My Luv(Coast to Coast) mwaka 2000 Milenium vikipigwa kwenye Chombeza Time na Aboubakar Sadiq kwa fujo au Rose Chitala kichwa ilikuwa inachanganyikiwa.
Cant wait aise ngoja nikaipakueeeJamani kwa wale wapenzi wa pop music na Rock wa zamani kidogo mtakua mnaikumbuka ile bendi ya vijana kutoka northern Ireland. Wametoa ngoma mpya kwa kushirikiana na ed sheeran jnaitwa Better man.
Check it Out!
ki vipi dadavuasi mmoja yupo deceased,mzee wake hakupenda ujinga.