naomba kuuliza gharama wanazochaji western union kwa mtu anayetuma pesa nje ya nchi.
mfano: ukitaka kutuma shilingi milioni 1 nje ya nchi, western union wanakuchaji shilingi ngapi au asilimia ngapi ya pesa unayotuma?
naomba kuuliza gharama wanazochaji western union kwa mtu anayetuma pesa nje ya nchi.
mfano: ukitaka kutuma shilingi milioni 1 nje ya nchi, western union wanakuchaji shilingi ngapi au asilimia ngapi ya pesa unayotuma?
Mkuu achana na western union. Tumia Moneygram. Western union gharama zao za kutuma ni kubwa kuliko za Moneygram na exchange rate ya pesa ya moneygram ni nzuri kuliko ya western union. Kama uko DAR, Arusha au Mwanza nenda Twiga Bancorp mtandao wao uko faster zaidi na kama uko mikoani basi jaribu Exim bank.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.