mikopo Kwa wafanyabiashara wakubwa

mikopo Kwa wafanyabiashara wakubwa

MR KWACHA

Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
98
Reaction score
87
habar
Kwa wale wote ambào ni wafanyabiashara Wanaohitaji pesa Kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya ki biashara, naomba kuwatangazoa kuwa kuna mikopo ya pesa inayoanzia milioni moja mpaka bilioni Moja.
mdhamana ni KADI ya gari, hti ya nyumba au hati ya Kiwanja Toka serikalini.
RIBA ni asilimia 30% Kwa miezi 12 yaani 2.5% Kwa mwezi
Kwa maelezo zaidi kuhusu huduma hii ya mkopo na changamoto Gani unakumbana nayo ili niweza kukusaidia ili uweze kupata mkopo wasiliana NAMI
0686153806

 
Hakuna mkopo wa uhakika wa kupiga kwenye simu. Wanaofanya hivi ni kausha damu na zile taasisi za kifedha zenye riba kubwa mfano Platinum credit, Bayport, Fanikiwa, Maboto, nk.

Zaidi ya hapo, ni UTAPELI.
Naona anakausha tu. Huyo nadhani hata hajui tofauti ya mikopo. Mkopo wa uwekezaji huwa hauzidi 3% riba yake. Unaanza kulipa si chini ya miaka 5. Nilimtegea ajibu ili nimchambe kisawasawa
 
Tuongelee hapa kwa faida ya wote. RIBA ni kiasi gani? Na unarejesha vipi
Inatokaña na kiasi unachokopa
Kuna RIBA za asilimia 20 Kwa mwaka Kwa mikopo inayoanzia milioni 5 Hadi million 100
Kuanzia milioni 100 hàdi bilioni Moja RIBA ni asilimia 30
Hii ni microfinance or ni mtu binafsi? Ni on reducing balance or ?
Yés mkuu ni microfinance
 
Inatokaña na kiasi unachokopa
Kuna RIBA za asilimia 20 Kwa mwaka Kwa mikopo inayoanzia milioni 5 Hadi million 100
Kuanzia milioni 100 hàdi bilioni Moja RIBA ni asilimia 30

Yés mkuu ni microfinance
Mikopo ya uwekezaji, huwa haizidi riba ya asilimia tatu (3%)! Hiyo riba inazidi ya Benki kwa mikopo ya Biashara kama CRDB ambayo ni asilimia 16! RIBA zenu ni wizi wa mchana kweupe
 
Mikopo kwa ajili ya kufunga ndoa mnatoa?
1781641156323.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom