Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,861
- 1,302
- Thread starter
- #21
Jamii ndiyo inachagua rais na wabunge na miongoni mwa wabunge rais anamchagua waziri mkuu na mawaziri wengine ambao ndiyo serikali. Hivyo jamii ikichagua ovyoovyo serikali itakayochaguliwa kutokana na watu ovyoovyo nayo itakuwa ovyoovyo - logical!kumbe sisi wanajamii ndio tunasababisha serikali yetu kuwa ovyo ovyo kivip Lebabu11 bado sijaipata point yako vizuri