Wenzetu Moro wanaangalia AFCON live bila king'amuzi

Wenzetu Moro wanaangalia AFCON live bila king'amuzi

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,104
Licha ya serikali kukipigia debe kwa nguvu zote king'amuzi matokeo yake mikoa inayo tumia kifaa hicho hawatizami muchuano ya AFCON huko A.Kusini cha kushangaza na cha kulitia aibu Taifa hili ni kwa kastation kadogo ka TV pale Morogoro karusha AFCON mechi zote LIVE bila chenga nako ni ABOOD TV au ATV nashangaa TBC chombo cha taifa kinashindwaje kurusha mawimbi ili kila mlipa kodi afaidi? Badala yake station ndogo Moro inawapa raha wakazi wa mji huo. Ndo maana michezo inadorola katika nchi watendaji wapo kwenye usingizi mzito badilikeni jamani.
 
Morogoro kuna cable tv ambayo unaangalia mechi nyingi sana tofauti na ufisadi wa hivi vya dar.
 
Serikali inabidi iamke inajifanyia mambo ya enzi za chama cha shika hatamu.
 
Licha ya serikali kukipigia debe kwa nguvu zote king'amuzi matokeo yake mikoa inayo tumia kifaa hicho hawatizami muchuano ya AFCON huko A.Kusini cha kushangaza na cha kulitia aibu Taifa hili ni kwa kastation kadogo ka TV pale Morogoro karusha AFCON mechi zote LIVE bila chenga nako ni ABOOD TV au ATV nashangaa TBC chombo cha taifa kinashindwaje kurusha mawimbi ili kila mlipa kodi afaidi? Badala yake station ndogo Moro inawapa raha wakazi wa mji huo. Ndo maana michezo inadorola katika nchi watendaji wapo kwenye usingizi mzito badilikeni jamani.


Kama unatumia ZUKU utapata matangazo ya AFCON bila chenga, we angalia UBC ya Uganda(ambayo ni kama TBC hapa kwetu)
 
Kama unatumia ZUKU utapata matangazo ya AFCON bila chenga, we angalia UBC ya Uganda(ambayo ni kama TBC hapa kwetu)

Kwa nn sisi wenye Startimes tunakosa? Wakati TBC inaendeshwa kwa kodi zetu kama ilivyo UBC!!
 
Kwani mlishawagea TBC 10Percent??? Maana nasikia siku hizi ni 10Percents ndio mambo yaende.


TBC ikionesha AFCON nani ataonesha Taarab?? Nani ataendesha Propaganda??? Nani atawasifia magamba???
 
Huu utandawizi badala ya kutupeleka mbele unaturudisha nyuma. Inasikitisha kukosa kuangalia AFCOM.
 
sio AFCON tu,, Abood tv pia inatuonyesha EPL kupitia ABU DHABI NETWORK TV bila chenga
 
Licha ya serikali kukipigia debe kwa nguvu zote king'amuzi matokeo yake mikoa inayo tumia kifaa hicho hawatizami muchuano ya AFCON huko A.Kusini cha kushangaza na cha kulitia aibu Taifa hili ni kwa kastation kadogo ka TV pale Morogoro karusha AFCON mechi zote LIVE bila chenga nako ni ABOOD TV au ATV nashangaa TBC chombo cha taifa kinashindwaje kurusha mawimbi ili kila mlipa kodi afaidi? Badala yake station ndogo Moro inawapa raha wakazi wa mji huo. Ndo maana michezo inadorola katika nchi watendaji wapo kwenye usingizi mzito badilikeni jamani.
yule mkurugenzi wa TBC hana ubunifu hata kidogo ni zilipendwa kwelikweli.hajui mahitaji rika ya watanzania katika nyanja mbalimbali.anachojua yeye ni kuwasifia ccm tuu basi.
 
Ndio matatizo ya kuingiza siasa kwenye utaalamu, matokeo yake ndio haya,yaani kila kitu kinadorora! Wakubwa wana wasiwasi gani,wakati asilimia kubwa wana DSTV! Bado ka muda kadogo kitaeleweka!
 
Back
Top Bottom