TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,104
Licha ya serikali kukipigia debe kwa nguvu zote king'amuzi matokeo yake mikoa inayo tumia kifaa hicho hawatizami muchuano ya AFCON huko A.Kusini cha kushangaza na cha kulitia aibu Taifa hili ni kwa kastation kadogo ka TV pale Morogoro karusha AFCON mechi zote LIVE bila chenga nako ni ABOOD TV au ATV nashangaa TBC chombo cha taifa kinashindwaje kurusha mawimbi ili kila mlipa kodi afaidi? Badala yake station ndogo Moro inawapa raha wakazi wa mji huo. Ndo maana michezo inadorola katika nchi watendaji wapo kwenye usingizi mzito badilikeni jamani.