Wenzangu mlivuka vipi haya maumivu makali ya kuachwa?

Siku zote ex anaye kutext au kukupigia muda mfupi baada ya kukuumiza si mtu mzuri kwako. Huwa wanafanya hivyo ili wajisikie kuwa hawajafanya jambo baya kwa kukuacha.
Angekuwa na nia njema angekupa muda wa kupona. Otherwise hiyo ni dharau.
Block her kabisa.
Anakutext kujua vipi umemsahau au bado bwege lake wanadamu ni washenzi sana sasa hapo ni blue tick au mjibu kunya ili imuume
 
Ni muda wa kuwageukia wale waliokuwa wanakupenda alafu watathiminishe vizuri kisha umchague mmoja mtakaoweza kwenda sawa, kumbukumbu husahaulika jitahidi kufanya mambo chanya kuufikirisha ubongo wako zaidi ya kumuwaza huyo bibie aliyekutema. Pia usisahau kutupa mrejesho wa kurudia matapishi manake ni wazi bado unaonekana udhaifu kwake
 
Acha ufala na ulofa, tafuta hela, mwanaume MWENYE hela hapigwi kibuti.
Sanasana utajikuta mdada unachepuka Mwisho WA siku unarudi kwa baba LA baba wako, baba LA mihela


kiuhalisia hua nikujidanganya tu...labda kama hana hisia za kupenda..usiseme kbs hvyo..sasa atakua anatafuta pesa na wanawake wanamwacha daily...pesa sio.kila kitu...
 
Acha ufala na ulofa, tafuta hela, mwanaume MWENYE hela hapigwi kibuti.
Sanasana utajikuta mdada unachepuka Mwisho WA siku unarudi kwa baba LA baba wako, baba LA mihela
Mkuu hela ninazo,sijui unazungumzia dolar ngap..maana nmeanza kuzitafuta mapema mnoo.atlest katika mwaka kwenye mzunguko wa business zangu sikosi $25000
 
Aliwahi kukutongoza au unamzingizia tuu!! Mwenzio yuko kwenye maumivu makali badala ya kumpa moyo unamkandia
Ulikuwa nae miaka mitatu wakati ulikuwa unatongoza huku jf kuwa upo single.haya usingle huo hapo pambana nao sasa
 
"Release Me"


You don't have to come with me
Down this road
'Cause I know my way around here
Very well
It may not seem like it
From where you stand
But believe you me, I know what
I'm talking about
Letting it all go
Didn't matter to me
'Cause I've done it all before
But when you left
Part of me left with you
That is why I call you now
On this phone
So please, oh please
Don't hang up on me

[Chorus:]
Release me let me go [x3]
But remember that
Some bridges never burn

You took your way
And I took mine
We were sure our ways
Will never meet again
Everytime I go out
With another man
I find myself calling your name
Now I know that it's true
What they say
Sometimes love
Never knows when to die
When you went
Part of me went with you
That's why I called you on the phone

[Chorus:]
Release me let me go
Remember that
Some bridges never burn

Oh-ho-oh-ho... ho
Oh-ho-oh-ho... ho
 
Understand that breakups happen. You're not alone. A lot of people break up everyday, and the pain that comes is NEVER easy.
Don’t sit at home watching sad ,emotional movies or listening to sad and romantic songs. That will just make things worse.
Go out. Be with people. Socialize.
And if you are a person of faith, double down on your praying and getting close to your object of faith.
 
Tafuta pesa wacha kulialia JamiiForums, huna cha kufanya, umezoea kulelewa, amka anza kujitegema.
Mimi sio single mother, Niko very independent, Nina miradi ya kilimo na ufugaji, na nimewekeza KWENYE vitu vingine mbalimbali, njoo unitumikie @kiben 10 weee
Shosti eeh naomba unitafutie sponsor naitaji mtaji
 
Tafuta pesa wacha kulialia JamiiForums, huna cha kufanya, umezoea kulelewa, amka anza kujitegema.
Mimi sio single mother, Niko very independent, Nina miradi ya kilimo na ufugaji, na nimewekeza KWENYE vitu vingine mbalimbali, njoo unitumikie @kiben 10 weee
Can we bet please,kila mmoja aweke screenshot ya salio lililopo kwenye account..

Maana hizi dharau kwa mtu usiye mjua haziwez vumilika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom