Wenyeviti wa serikali ya mitaa wa Jimbo la Arusha mjini wametoa tamko la pamoja kutoshirikiana Gambo

Hali katika jiji la Arusha ususani katika siasa yachafuka,ni ukweli usio pingika Halmashauri ya jiji inayoongozwa na CHADEMA chini ya Mbunge God bless Lema wameapa Kwa udi na uvumba kuhakikisha wanamchonganisha mkuu wa wilaya mhe gambo na mhe Rais Magufuli.

Tangu mh Gambo ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Arusha,amegeuka kuwa mwiba wenye maumivu makali Kwa madiwani na Mbunge wa Arusha bwana God bless lema,hii ni kutokana na weledi wake katika kusimamia sheria na kuibua ufisadi mzito unaofanywa na Halmashauri inayoongozwa na meya CALISTI LAZARO.

Madiwani wa chadema wamekuwa wakijilipa posho maratatu zaidi ya wanayostaili,mh mkuu wa wilaya amesimama kidete kupinga ufisadi huu,halii hii imepelekea madiwani wa chadema kukutana kwa siri nyumbani Kwa Mheshima Mbunge Kupanga na kuibua Kashfa zitakazomshawishi Mh Rais KUMTUMBUA mkuu huyu wa wilaya.
Mpaka sasa Mikakati yakumuondoa mkuuu wa wilaya inasukwa chini ya mkandarasi GODBLESS LEMA,tutegemee kuanzia sasa kuona na kusikia mashambulizi makali sana kuelekea Kwa mkuu wa wilaya.

Agenda za awali zilizopitishwa ni kuibua tuuma za kupokea Rushwa,hii itakuja ikiwa na ustadii mkubwa kuweza kuaminisha umma, mkuu wa wilaya sio kiongozi anayestahili kuongoza wilaya yenye utajiri mkubwa wa vivutio vya utalii na wilaya yenye vyanzo vingi vya Mapato vinavyotokana na utalii,hili wameapa kulipigia kelele sana Kwani wanaamini hoja hiii ni raisi kueleweka na Mh RaisKwakuwa anachukia RUSHWA..nadhani niwakati sasa mh mkuu wa mkoa wa Arusha kuwa makini na tuhuma zinazomlenga mtendaji wako (mkuu wa wilaya)

Lema amekuwa akisikika mara kadhaa akisema"mh mkuu wa wilaya anamcopy MAKONDA hii ni ARUSHA lazima aondoke"

Kwa ushauri ndugu yangu Lema najua unajua ni jinsi gani uipata wakati mgumu kurudi bungeni mwaka janaa. Wako waliopa hata kutoa uhai wao ili tu usirudi bungeni lakini Kwa rehma za MJA umerudi,sasa ni bora mkapanga Mikakati yakimaendeleo.

Update 17/08/2016
Bado nachelea kusema vuguvugu hili siasa za majitaka linaloendelea Arusha kuwa na tija Kwa jiji letu,na wananchi kiujumla!

Takribani siku chache zilizopita nilikuja na uzi uliopambanua vema siasa zinavyoendelea katika jiji la Arusha haswa bifu zito linaloendelea kutoka Kwa Mbunge wa Arusha mjini dhidi ya mkuu wa mkoa.

Katika uzi ule niliweka wazi tusubiri kusikia milolongo mingi ya tuhuma zitakazo mlenga mh.mkuu wa wilaya bwana Gambo na bado naendelea kusema tuendelee kusubiri tutasikia mengi sana,mh.Mbunge amejipambanua ni lazima Gambo aondoke Arusha.

Kutoka Kwa mtoboa siri,agenda iliyoaminika ingeweza kumtikisa bwana Gambo ni ile yakumuhusisha na RUSHWA ya milioni 20 hii ilijikuta inafail vibayaa kwasababu mazingira hayakuwa rafiki kwa wananchii kuamini kama inawezekana kiasi cha milioni 20 zinaweza kuenea kwenye baasha ndogo,ndipo itolewe kama Rushwa.

Baada ya hoja hii,bado kunahoja kadhaaa zimepangwa kuelekezwa Kwa mkuu wa wilaya lengo ni lile lile kuhakikisha bwana gambo ANATUMBULIWA.

Mh mbunge amekuwa mtu wa vikao kila mara kupanga mbinu chafuu za kumuhujumu mkuu wa wilaya,juzi jumatatu mh Mbunge alikutana na baadhi ya wenyeviti wa mitaa na kuwashinikiza waandike barua yakutokushirikiana na mkuu huyu wa wilaya.hoja hii imependekezwa kuwa hoja ya pili kutupiwa mkuuu wa wilaya kwamadai ya kwamba ni raisi mheshimiwa Rais kielewa kwani wenyeviti wa mitaa ni watendaji muhimu na wengi kuliko hata Idadi yamadiwani.

Nakukumbusha mh Mbunge bado unamambo mengi yakufanya kuweza kutimiza ahadi zako nivema ukaelekeza nguvu hizo haswa kwenye kutatua matatizo ya Wananchi.
Kamwambie Gambo,Arusha sio Uvinza kwa wachimba chumvi...Huu ni mji wa kitalii.Alianza fitna za ukabila pale kwenye kijiwe cha wazee wa kirangi wakamkwepa,sasa analeta chokochoko.

Korogwe walimuacha hata alipomtukana Mwanasheria wa Wilaya kuwa ana degree ya chu....pi!!Hakuna wa kumchonganisha na JPM,hana hadhi ya kuchonganishwa,huyu atakiona tu mwenyewe!!Ataona huu mji mchungu!!Aache kufitini wenzake na kupandikiza chuki....Yeye kaletwa tu hapa Arusha,hawezi kuwa hata DC kwa miaka kumi,ni mpita njia tu....Arusha ina wenyewe
 
Leo umetambua kuwa kuna uvunjaji wa sheria, mnapoonyeshwa uvunjaji wa katiba unaotokana na kuzuiwa mikutano na maandamano mnajifanya kupotezea....kama leo unahitimisha kuwa wenyeviti wa serikali si chochote wakati mamlaka ya serikali yanatoka kwa wananchi, basi sitoshangaa tena ninaposoma post zako zinazowashambulia wanaotetea kuheshimiwa kwa katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania! Aidha, ni vizuri ukatambua kuwa umoja huanza kabla ya kusajiliwa kisheria, na nia au lengo ni muhimu zaidi kuliko karatasi ya usajili. Unaweza kuwa na taasisi iliyosajiliwa lakini ikafanya mambo ya hovyo kabisa kama tunavyoshuhudia taasisi nyingi zenye usajili wa kisheria zikifanya!
Unapoteza muda na huyo mkuu! Analipwa na Lumumba so pumba zozote yeye anaandika tu
 
Izo zote porojo nani kakuambia milima inauzwa wew.nenda kamuuliz mwenye tembo clabu aliuziwa n selikal mwixho wa zku akanyang'anywa ivyo uwe NA huakika ulisemalo kabla yakuposti.2 unapafaham anakoixh Lema uliza anaishi mtaa gani na dili za viband vya xokon kwanzia solo kuu.ngarenaro,clokon na hata samunge vnasimamiwa na ccm.tena samunge isingejengwa bila kelel za Lema kwan masoko yaliluw yamejaa n wale waliokuwa wanauza ngarenalo cku iz ni stendi ya kubwa ya haice ndo wamepelekwa samunge.Acha kupost uongo maan ccm yenyew wanajua ulichopost ni uongo mtupu
 
Gambo hatafanya lolote la maana hapo Arusha. Chama chake kimebakiwa na diwani mmoja tu kwenye Halmashauri ya jiji. Ni kama CCM haipo kwenye hilo jiji. Kama alishindwa Magesa Mulongo (RC) ataweza huyo Mrisho Gambo (DC)? Kwa hakika Gambo anapoteza muda tu.



Nafuu hata umenisaidia kuwaambia hawa majambazi ccm ambao wameshindwa kutofautisha usingizi na kifo daaadekii!!!!


Viva Chama cha Demokrasia na Maendeleo!!!!!
 
magufuli atamaliza miaka mitano kwa siasa uchwara, hajui kazi ya upinzani ninini??
Nashangaa hoja za wapinzani analazimika kujibu yeye,
Rais ambaye atachokwa kwa muda mfupi sanaaaa
Kwakweli hata Mimi nimeshamchoka,naona Kama katawala miaka 100 hivi.Nakukumbuka kweli rais wangu mpendwa JK.
 
magufuli atamaliza miaka mitano kwa siasa uchwara, hajui kazi ya upinzani ninini??
Nashangaa hoja za wapinzani analazimika kujibu yeye,
Rais ambaye atachokwa kwa muda mfupi sanaaaa
Tucheke mara ngapi au zaidi ya hapa?
 
Gambo hatafanya lolote la maana hapo Arusha. Chama chake kimebakiwa na diwani mmoja tu kwenye Halmashauri ya jiji. Ni kama CCM haipo kwenye hilo jiji. Kama alishindwa Magesa Mulongo (RC) ataweza huyo Mrisho Gambo (DC)? Kwa hakika Gambo anapoteza muda tu.
Gambo huyu anaeongelewa hapa ni yule aliyemtusi mwanasheria wa wilaya ya Korogwe?
 
Swali lako lina maana gani? Soma post yangu uelewe uozo wa viongozi wako wa hapo Arusha. Hakika Gambo atawanyoosha.
Arusha hawajawahi kushindwa kwenye vita kupambana na watu aina Gambo mfano mzuri mnakumbuka Magesa Mulongo leo yuko wapi huyu Gambo ni mwepesi sana kama karatasi
 
Back
Top Bottom